BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Vita ya Ukraine imesabaisha masuala mengi ikiwemo mahitaji ya vyakula kwa bara la Afrika yajulike kwa udhaifu wake.
Kwa mujibu wa ripoti ya BBC iliyochapishwa wiki hii imeonesha Bara la Afrika lenye nchi zaidi ya 55 likitegemea kiasi cha asilimia 40 ya ngano kutoka Ukraine na Urusi.
Mpaka sasa ngano iliyohifadhiwa kwenye maghala ya Ukraine pekee ni kiasi cha tani milioni 20 huku ikitarajiwa kufikia tani milioni 75 mwisho wa mwaka 2022 endapo hakutakua na usafirishaji wa kibiashara kwenda nchi zenye uhitaji.
Endapo mzozo wa kivita utaendelea kiasi asilimia 30 ya kati ya tani milioni 86 ya ngano haitavunwa na kuendelea kusababisha uhaba mkubwa bidhaa hiyo duniani.
Mbali na Ngano, Ukraine ndiye mzalishalisha mkuu wa mafuta ya kula ya kula duniani akiwa na uzalishaji wa asimilia 42 ya mafuta yote yanayotumika.
_______________________________________
Ukrainian president Volodymyr Zelensky has said this could rise to 75m tonnes after this year's harvest.
The war also means that this year's harvest will be smaller.
As much as 30% of the 86m tonnes of grain Ukraine normally produces will not be harvested, says Laura Wellesley, a food security specialist at think tank Chatham House.
In addition, wheat exports from Russia - the world's largest exporter - are down.
Western sanctions do not target Russian agriculture, but the Kremlin argues they have hindered exports by hiking insurance rates and affecting payments.
Russian ships carrying agricultural products are not barred from EU ports.
Ukraine and Russia usually supply over 40% of Africa's wheat, the African Development Bank says.
But the war has led to a shortage of 30 million tonnes of food in Africa, it says. This has contributed to a 40% rise in food prices across the continent.
In Nigeria, it has helped increase the price of staples such as pasta and bread by as much as 50%.
Kwa mujibu wa ripoti ya BBC iliyochapishwa wiki hii imeonesha Bara la Afrika lenye nchi zaidi ya 55 likitegemea kiasi cha asilimia 40 ya ngano kutoka Ukraine na Urusi.
Mpaka sasa ngano iliyohifadhiwa kwenye maghala ya Ukraine pekee ni kiasi cha tani milioni 20 huku ikitarajiwa kufikia tani milioni 75 mwisho wa mwaka 2022 endapo hakutakua na usafirishaji wa kibiashara kwenda nchi zenye uhitaji.
Endapo mzozo wa kivita utaendelea kiasi asilimia 30 ya kati ya tani milioni 86 ya ngano haitavunwa na kuendelea kusababisha uhaba mkubwa bidhaa hiyo duniani.
Mbali na Ngano, Ukraine ndiye mzalishalisha mkuu wa mafuta ya kula ya kula duniani akiwa na uzalishaji wa asimilia 42 ya mafuta yote yanayotumika.
_______________________________________
How much grain is stuck in Ukraine?
About 20m tonnes of grain meant for export are trapped in the country.Ukrainian president Volodymyr Zelensky has said this could rise to 75m tonnes after this year's harvest.
The war also means that this year's harvest will be smaller.
As much as 30% of the 86m tonnes of grain Ukraine normally produces will not be harvested, says Laura Wellesley, a food security specialist at think tank Chatham House.
How have grain shortages affected other countries?
Ukraine is usually the world's fourth-largest grain exporter. It normally produces 42% of the world's sunflower oil, 16% of its maize and 9% of its wheat.In addition, wheat exports from Russia - the world's largest exporter - are down.
Western sanctions do not target Russian agriculture, but the Kremlin argues they have hindered exports by hiking insurance rates and affecting payments.
Russian ships carrying agricultural products are not barred from EU ports.
Ukraine and Russia usually supply over 40% of Africa's wheat, the African Development Bank says.
But the war has led to a shortage of 30 million tonnes of food in Africa, it says. This has contributed to a 40% rise in food prices across the continent.
In Nigeria, it has helped increase the price of staples such as pasta and bread by as much as 50%.