Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #141
Dah! Usiwe umemaanisha nilichoelewa tafadhali😁😁😁🙌Kwa mbili mbili kwa mbili mbili 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Usiwe umemaanisha nilichoelewa tafadhali😁😁😁🙌Kwa mbili mbili kwa mbili mbili 😹😹
Sawa mkuu nitafanya hivyoPoleni sana ,vaa uso wa mbuzi hautoona aibu siku nyingine.
Kuanguka na wali assembly nikiwa olevel nimetoka staff kuchukua wali nilipewa na madam wangu,Baada ya kupata ajira nikianza kuwa mlevi wa kutupwa halafu nilikuwa najitamba kuwa nina pesa chafu, sikukumbuka habari ya kujenga nyumba yangu ili nikistaafu nisitaabike.
Mwaka mmoja kabla ya kustaafu nikianza kujenga nyumba ambayo ingekuwa ya kupangisha mungu si Monetary doctor nyumba ikafika katika kiwango lenta lakini isivyo bahati muda wa kustaafu uliwadia.
Nilijisemea kuwa kiinua mgongo changu kitanisaidia kumalizia lakini mambo yalikwenda kinyume na matarajio kwani nilizidisha pombe maradugmfu, nilikuwa nawanywesha marafiki na nilikuwa najitamba hata nikajibatiza kwa jina la Dewji lakini pension nayo iliisha mazima.
Siku moja nilibanwa na njaa kali isiyo na mfano na mfukoni nilikuwa na TSH 1000 niliingia kwenye mgahawa ambao chakula cha bei ya chini kilikuwa TSH 1500 nacho ni ugali. Mazungunzo baina yangu na maman'tilie yalikuwa hivi.
MMI: ugali shilingi ngapi.
MAMAN'TILIE: 1500.
MIMI: (huku nilimpa 1000) hebu naomba unipatie ugali bila mboga.
MAMAN'TILIE: Khah kwa hiyo hutaki mboga au huna hela.
MIMI: Nina hela sema Leo nimeamua Kula ugali peke yake maana katika dunia hii hakuna chakula ambacho sijawahi kula ila ugali bila mboga.
Kumbe watu walikuwa pale mgahawani walikuwa wananisikia, walinicheka na kuanza kunikebehi, yaani siku hiyo niliona aibu ambayo sijawahi kuona mpaka miguu ilikosa nguvu.
Hahaha 🤣, ni ngori.Kuanguka na wali assembly nikiwa olevel nimetoka staff kuchukua wali nilipewa na madam wangu,
Eh bhana sikuinuka nililala pale pale mpk nikaja nyanyuliwa 😂 nikijidai nimezima
Kwakuwa tu ilikuwa o level. Ila kwingineko kila jibu ni jibu inategemea unaliteteaje. Hapakuwa na aibu yyteMimi O level nilikuaga kwenye Debating club sasa tukawa tumeenda kushindana na shule ya mademu. Sisi tulikua tuna propose afu wao wanaoppose motion. Usiku wakati naandaa points nikajichanganya nikaandaa points za ku-oppose motion ,afu kesho yake mi ndio nilikua first speaker na bahati mbaya nilichelewa ile warm up na wenzangu so hakuna alojua naenda kinyume. Tumefika ukumbini watu wamejaa hadi nje wengine wanachungulia madirishani nikashangaa baada ya introduction nainuliwa kama first speaker to propose the motion. Yale mawenge sijawahi yapata aisee hata sikuelewa nimefikaje kwenye kipaza sauti. Kilichofuata hapo ni kituko cha karne maana sio kwa aibu ile mbele ya mademu mpaka wenzangu wakahisi nimerogwa. Ile aibu sikuwahi tia mguu kwenye mashindano tena maana nilisababisha team yetu kuzomewa vibaya sana
Nii hatare sanaHahaha 🤣, ni ngori.