Daaah😂😂..!!kitamboo sanaa nakumbuka kipndi nipo o level nilikuwa na mazoeaa naa crew ya vjana wa mizahaa sanaa..
Sasa Kuna tukioo lilitokeaa pale skul..Kuna jamaa MMOJA kwenye ilee Crew alifumwaa anakojoa kwenye pipaa la choon aiseee..ilikuwa ni fedhea..
Alivyokamatwaa waalimu wakasemaa huyuu jamaa anaonekana hayupoo yy peke ake anaefanya mamboo kama hayaa ..kidatoo kizmaa kiliitwaa tenaa Kwa vbokoo ilikuwataja hao watuu kwenye kupgwaa watuu ..wakasema tusfee kzembee wacha tuwachomiee crew yakee yotee na mm nikiwemoi kama muhuskaa wawaliokohia kwenye pipa la choonii😂😂 daaah tulitwaa asemboo kengeree ya dharulaa skul nzmaa aibuu iliojee Kuna walimu na wanafunzii walikuwa wananiheshimu sanaaa tuu..wakanikutaaa na mm nikiwemooo daaaah😂😂...
Nilikulaaa sanspaaa ya wkii mbilii Ile napeleka barua nyumban maza hakuaminii kama ni mmi... Kwanzaa ilikuwaa nikitukooo balaaa,😂😂😂 sjiikusahau
Hadii mdaa huu nikikutana na nilikuwa nao class mojaa wananiita kipipa
Aibuuu sanaaa ..sjui inafutkajee hii ni kitamboo ilaa hadii Leo ni historiaa