Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
😁😁itakuwa aliambiwa hivyo mkuuMshkaji alitonywa kwamba we ni gogo kitandani akaona asipoteze hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁itakuwa aliambiwa hivyo mkuuMshkaji alitonywa kwamba we ni gogo kitandani akaona asipoteze hela
😁😁yaani almanusraIliponea chupuchupu kunyanduliwa!
Sisi wanaume tunaanza,utani kama unalala kama gogo tunamsema,kama fundi cherehanivtunasifia pia!Hiyo mbona kawaida?
Kama mliachana, hata kama ukidate na rafiki zake shida iko wapi?
Naamini na yeye aliichakata iyo Mbususu.Mimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁
After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.
Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌
Huo msala asee.Ok muda wa mastori kumbe? basi sawa.Nilienda Dom kwa uncle wangu kumlindia nyumba na kumpa kampani akiwa anaenda jobu.Sasa bwana mjomba alikuwa lugumya( bahili kinoma).Hatoi hata mia ila kula utakula.Sasa siku moja nikawa niko room kwangu nimejilaza nikaona kwenye silingi bodi wamekata kama kipembe nne,mawazo yakaniijia nipande pale na kweli nikapanda nikatambaa kama mjeshi nikaibukia chumbani kwa mjomba.Ile natua tu chumbani na mlango unafunguliwa uso kwa uso na mjomba.
Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Oiiii .
OkNimejibu hakuwa yangu
Mi mwanamke akila 'elazangu sitaki viuno, ntamuona kama ananisanifu kusherehekea 'hujuma' zake.Mshkaji alitonywa kwamba we ni gogo kitandani akaona asipoteze hela
EeehMi mwanamke akila 'elazangu sitaki viuno, ntamuona kama ananisanifu kusherehekea 'hujuma' zake.
Nataka alale kama gogo nipunish niridhike.
Hakushusha kipondo cha mbwa mwizi?Ok muda wa mastori kumbe? basi sawa.Nilienda Dom kwa uncle wangu kumlindia nyumba na kumpa kampani akiwa anaenda jobu.Sasa bwana mjomba alikuwa lugumya( bahili kinoma).Hatoi hata mia ila kula utakula.Sasa siku moja nikawa niko room kwangu nimejilaza nikaona kwenye silingi bodi wamekata kama kipembe nne,mawazo yakaniijia nipande pale na kweli nikapanda nikatambaa kama mjeshi nikaibukia chumbani kwa mjomba.Ile natua tu chumbani na mlango unafunguliwa uso kwa uso na mjomba.
Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Oiiii .
Ngoja futari ya magimbi na uji wa mchele ushuke kwanza.Hakushusha kipondo cha mbwa mwizi?
Kwahiyo unataka umkomeshe kisawa sawaMi mwanamke akila 'elazangu sitaki viuno, ntamuona kama ananisanifu kusherehekea 'hujuma' zake.
Nataka alale kama gogo nipunish niridhike.
Kuwa na mahusianoKu-date inamaanisha nini?
😁😁😁Wee jamaa hebu tunaomba part 2Ok muda wa mastori kumbe? basi sawa.Nilienda Dom kwa uncle wangu kumlindia nyumba na kumpa kampani akiwa anaenda jobu.Sasa bwana mjomba alikuwa lugumya( bahili kinoma).Hatoi hata mia ila kula utakula.Sasa siku moja nikawa niko room kwangu nimejilaza nikaona kwenye silingi bodi wamekata kama kipembe nne,mawazo yakaniijia nipande pale na kweli nikapanda nikatambaa kama mjeshi nikaibukia chumbani kwa mjomba.Ile natua tu chumbani na mlango unafunguliwa uso kwa uso na mjomba.
Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Oiiii .
Angekuwa ameichakata ningesema kwani namuogopa nani humuNaamini na yeye aliichakata iyo Mbususu.
Wewe igawe utakavyo iyo ni mali yako
Ilikuwaje mkuu😁😁Kuna mahali nilienda nikajimwambafai kuwa mimi ni Trump.
Aisee kilinuka.
Cc Lucas Mwashambwa 😄😄😄Aibu iliyotokea ni lucas mwanshamba kusema nchi ya tanzania itauza umeme nchi za nje na bwawa la umeme nyerere linaweza kukaa miaka 3 bila maji kukauka.
Leo anaaelezwa umeme utanunuliwa nje.
Yani mpaka sasa JF yupo kimya na watu wake wakijaribu wadivert vipi
Eee! Nashindwa kureflex sawa sawa mishipa yangu ya makalio!Kwahiyo unataka umkomeshe kisawa sawa