Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

Kwanini wakupopoe?

Atakayekupopoa elewa huyo atakuwa ni 'fuska mbwa'.

Maana yake nini ujue, watu wana wivu sana wa kuona watu wengine wakifanya wayafanyayo wao, tena wakiyafanya kwa ufanisi zaidi.

Mwizi hapendi kuibiwa wala kusikia habari za mtu mwizi.

Mzinzi akikamata ugoni anaua!

Mzinzi ama mwizi akiwa mchungaji ama shehe, si kwa mahubiri hayo ya kulaani vitendo vya namna hiyo.

Hapa umeweka kamtego ka kunasia wazinzi kwa kipimo cha comment watakazoziweka.

Ngoja waje.
Humu kila nikisimulia stori iliyowahi kunitokea kuhusu mapenzi wanaona kama nimefanya sana hayo mambo🥲🥲
 
Humu kila nikisimulia stori iliyowahi kunitokea kuhusu mapenzi wanaona kama nimefanya sana hayo mambo🥲🥲
Mkuu hata kama ulifanya bhana!

Kwani kuna limitation kwamba kuna muongozo baada ya balkhe ama msichana akivunja ungo, mwisho wa kufanya ni mara kadhaa?

Hili janga ukikuta mtu anajiweka pembeni kwamba yeye halimhusu ni mtu wa maadili sanaaa, elewa anayenena hayo ni mnafiki hapo.

Watu hatuhesabiani matonge wakati wa kula.

Ukila matonge mawili matatu halafu ukanawa usiwajaji wenzako wanaoendelea kula kwamba ni walafi, no kila mtu na ulaji wake.
 
Mkuu hata kama ulifanya bhana!

Kwani kuna limitation kwamba kuna muongozo baada ya balkhe ama msichana akivunja ungo, mwisho wa kufanya ni mara kadhaa?

Hili janga ukikuta mtu anajiweka pembeni kwamba yeye halimhusu ni mtu wa naadili sanaaa, elewa unaongea na mnafiki hapo.

Watu hatuhesabiani matonge wakati wa kula.

Ukila matonge mawili matatu halafu ukanawa usiwajaji wenzako wanaoendelea kula kwamba ni walafi, no kila mtu na ulaji wake.
Sasa ndiyo nashangaa kwanini huwa wa huku wananihesabiaga matonge
 
Mimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁

After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.

Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌
Iliponea chupuchupu kunyanduliwa!
 
Back
Top Bottom