secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Watu walinicheka sanaHiyo kweli aibu kubwa mkuu, kiuhalisia hakuna anayeweza kula ugali bila mboga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu walinicheka sanaHiyo kweli aibu kubwa mkuu, kiuhalisia hakuna anayeweza kula ugali bila mboga
Pole sana mkuuWatu walinicheka sana
anabubujika kwa machozi na kamasiAibu iliyotokea ni lucas mwanshamba kusema nchi ya tanzania itauza umeme nchi za nje na bwawa la umeme nyerere linaweza kukaa miaka 3 bila maji kukauka.
Leo anaaelezwa umeme utanunuliwa nje.
Yani mpaka sasa JF yupo kimya na watu wake wakijaribu wadivert vipi
Mimi nimekuelewa sana😂Umeenda mbali sana mkuu, ni wapi nimesema hiyo taarifa?
anastazia nimekuta mara tatuUshawai kutana na crush wako sehemu alafu ulikua unafanya kitu embarrassing lol omba yasikukute😹😹😹🙌🏾
Sawa mkuu haina nomaMimi nimekuelewa sana😂
Humu kila nikisimulia stori iliyowahi kunitokea kuhusu mapenzi wanaona kama nimefanya sana hayo mambo🥲🥲Kwanini wakupopoe?
Atakayekupopoa elewa huyo atakuwa ni 'fuska mbwa'.
Maana yake nini ujue, watu wana wivu sana wa kuona watu wengine wakifanya wayafanyayo wao, tena wakiyafanya kwa ufanisi zaidi.
Mwizi hapendi kuibiwa wala kusikia habari za mtu mwizi.
Mzinzi akikamata ugoni anaua!
Mzinzi ama mwizi akiwa mchungaji ama shehe, si kwa mahubiri hayo ya kulaani vitendo vya namna hiyo.
Hapa umeweka kamtego ka kunasia wazinzi kwa kipimo cha comment watakazoziweka.
Ngoja waje.
HeheheInasikitisha Sana mkuu.
NdiyoHehehe
Mkuu hata kama ulifanya bhana!Humu kila nikisimulia stori iliyowahi kunitokea kuhusu mapenzi wanaona kama nimefanya sana hayo mambo🥲🥲
Mbona sijuianastazia nimekuta mara tatu
Ndiyo what???Ndiyo
Nimekosea mkuuNdiyo what???
Sasa ndiyo nashangaa kwanini huwa wa huku wananihesabiaga matongeMkuu hata kama ulifanya bhana!
Kwani kuna limitation kwamba kuna muongozo baada ya balkhe ama msichana akivunja ungo, mwisho wa kufanya ni mara kadhaa?
Hili janga ukikuta mtu anajiweka pembeni kwamba yeye halimhusu ni mtu wa naadili sanaaa, elewa unaongea na mnafiki hapo.
Watu hatuhesabiani matonge wakati wa kula.
Ukila matonge mawili matatu halafu ukanawa usiwajaji wenzako wanaoendelea kula kwamba ni walafi, no kila mtu na ulaji wake.
Umekosea what???Nimekosea mkuu
Huyo jamaa aliyekuwa akikusorolea ni dhaifu.Shida hamna ila yule rafiki ake nadhani alimwambia jamaa akaona ajikatae
Naona pia alikuwa hataki majukumu pengineHuyo jamaa aliyekuwa akikusorolea ni dhaifu.
Kwanini arudi nyuma kwa maneno ya kuambiwa?
Nimejibu hakuwa yanguUmekosea what???
Iliponea chupuchupu kunyanduliwa!Mimi niliwahi kuitwa mahali na mtu nikaenda hiyo sehemu nikakutana na marafiki zake, sasa huyo mmoja niliwahi kudate nae aisee hii aibu ilikuwa kubwa sana na huyu jamaa niliekuwa nae akawa ananiintroduce mimi mtu wake nini ana furahia😁😁
After hapo yule jamaa nadhani alipewa taarifa na rafiki yake hakunitafutaga tena na alikuwa hajawahi kula mzigo, ndiyo iliishaga hivyo.
Hiyo ilikuwa kitambo kwasasa nimeacha hayo, maana hamchelewi kunipopoa😁😁🙌