Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
OkSawa mkuu nitafanya hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkSawa mkuu nitafanya hivyo
Huoni kabisa hapoSasa hapa aibu inatoka wapi jamaa
Matunda yako!!!Matunda gani tena jamani😁😁
Pole sana mkuu mimi nilikuwa nakimbia debate hadi namaliza O-level sijawahi kushiriki DebateMimi O level nilikuaga kwenye Debating club sasa tukawa tumeenda kushindana na shule ya mademu. Sisi tulikua tuna propose afu wao wanaoppose motion. Usiku wakati naandaa points nikajichanganya nikaandaa points za ku-oppose motion ,afu kesho yake mi ndio nilikua first speaker na bahati mbaya nilichelewa ile warm up na wenzangu so hakuna alojua naenda kinyume. Tumefika ukumbini watu wamejaa hadi nje wengine wanachungulia madirishani nikashangaa baada ya introduction nainuliwa kama first speaker to propose the motion. Yale mawenge sijawahi yapata aisee hata sikuelewa nimefikaje kwenye kipaza sauti. Kilichofuata hapo ni kituko cha karne maana sio kwa aibu ile mbele ya mademu mpaka wenzangu wakahisi nimerogwa. Ile aibu sikuwahi tia mguu kwenye mashindano tena maana nilisababisha team yetu kuzomewa vibaya sana
Yapi hayo mkuu?Matunda yako!!!
Huwa nasoma usiku mtumishiUnasoma neno saa ngapi mtumishi.
Sawa kama ChaiChai..
Mimi mgeni, ndo wapi huko??Ebu njoo PM...😋
Kwani we una matunda ganiYapi hayo mkuu?
Hiyo noma sana aiseeUshawai kutana na crush wako sehemu alafu ulikua unafanya kitu embarrassing lol omba yasikukute😹😹😹🙌🏾
Hata sina matundaKwani we una matunda gani
Hatari sana hiiAibu iliyotokea ni lucas mwanshamba kusema nchi ya tanzania itauza umeme nchi za nje na bwawa la umeme nyerere linaweza kukaa miaka 3 bila maji kukauka.
Leo anaaelezwa umeme utanunuliwa nje.
Yani mpaka sasa JF yupo kimya na watu wake wakijaribu wadivert vipi
Unayo bhana!Hata sina matunda
Ndo tunachokitakaMimi nikitoa kisa changu mtalia Sana na kusaga meno.
Mimi sitaki mlieNdo tunachokitaka
Sina bhanaUnayo bhana!
😁😁😁😁😁🙌ile noma sema haina shida maana huyo mtu kukutana ni mara chacheSina aibu zaidi ya ile ambayo nadhani mtoa mada unaifahamu vizuri 😁