Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

Kuna wahuni watapiga PULL sio mda mrefu apa🤣🤣
 
Sijui ni makusudi, sidhani kama hawazisikii
Wanalala na wanaume wengi na kubeba magonjwa mengi kama fangasi na UTI vinajichanganya humo na kile kitu ni kama kidonda,kinaliwa kwenye ile nyama laini kinaoza pasi mhusika kujua na kusababisha harufu, ukimuona mwanamke wa hivyo ni better kumshauri tu akatibiwe maana huo ni ugonjwa
 
Aisee na wengine mpak funza wanazaliana na nyama znaota harufu ya uozo🤧🤧🤧
 
Umetuaaa wakulungwa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Haziwezi kuwa kasoro za mwanaume mmoja, kwanini ujaribu wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…