Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

Ngoja tuongee na DEO(P) ampange Beesmom kwenye hii Mitihani ya Darasa la Saba aende akasimamie huko, kuendelea kusalia kwenye huu Uzi ataendelea kusababisha Wanaume waendelee kukosa nguvu za Kiume Kwa Comments zake
 
good points and thanks
 

Hahaah we mtundu khaaa
 
Sema asanteni kwa kunisoma, maana umeandika
 
Inaonekana ukimpa mkunaji mzuri hua unafurahi sana
 
Kwa hio hapo ndo umetunza siri🤔 shenzi kabisa
 
Duuh umeeleweka mzee sema aya ni kama masharti ya mganga, yaani ni magumu
 
Fungus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…