Harufuuuuu mkuu haruuuuuuufu
Mimi sinaga mambo ya kuvunga vunga kijinga nilikutana na manzi ananuka K nikamweleza akaoge nikijua labda haruuufu itakata kumbe ile harufu hua haikati hivyo
Nimewahi kulala nae huyo mmoja tu akiwa ananuka K ila wengine wooooote niliwahi kuwagegeda hawakua wananuka K
Nilichokuja kugundua ni kwamba K ni km mdomo kuna wanadamu baadhi wanaugua ugonjwa wa kunuka mdomo hadi ukikaa nao karibu kichwa kinakuuma kwa harufu mbaya inayotoka mdomoni pale anapoongea
Kitu kingine nilikigundua ukiona mwanamke ananuka K jua ana infection kwenye via vyake vya uzazi somewhere ndani kunaoza yes ndani ameanza au anaendelea kuoza
Kwa mujibu wa tafiti zangu za ndani za huku na kule nilikuja kubaini kwamba ni mimi ndie nnaeisikia ile harufu ila yeye haisikii
Yaan alinifanya mpaka kuna manzi yangu mmoja nilipomchojoa kitu cha kwanza nilipeleka pua kwenye kipochi manyoya kukikagua je kinatoa mafunza niliposikia kinanukia iriki nikasema hapa ndio penyewe stress free
Kwa hio nahitimisha kwa kusema kwamba huyo mpenzi wako alikua anaumwa au anaugua ndani kwa ndani yaani ndani ya K alikua ameoza au anaendelea kuoza
Ahsanteni kwa kunisikiliza..