de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Ya darasan ni theory. Mtaan unakutana na uhalisia wenyeweIpi kwenye theory na ipi practical ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya darasan ni theory. Mtaan unakutana na uhalisia wenyeweIpi kwenye theory na ipi practical ?
Hivi unaelewa hata maneno unayo tumia au wajiandikia tu ?!.Ya darasan ni theory. Mtaan unakutana na uhalisia wenyewe
Kazi nilizoweka hata darasa la nne anaweza,Hizo kazi ulizo andika ndizo walizo somea ?
Kwa hiyo wewe unaona sawa mtu asome mpaka chuko kikuu kisha aje kuwa mchoma mahindi, muuza genge, mama ntilie?Ni aibu imejengwa kwenye mindset kuogopa kuonekana wanachoma mahindi, kuuza nyanya gengeni, kuwa mama ntilie, kuwa kinyozi, n.k. ni kujiona keki kwamba kazi pekee wanazoweza kufanya ni za ofisini ama kuuza kwenye frem.
Wewe ni mpumbavu soma ulichoandika.Kazi walizosomea ni wachache wanaajiriwa (wengi wana maindset ya kuajiriwa)
Kazi nilizoweka hata darasa la nne anaweza
Unataka Bunge livunjwe? Maana wao wengi ni graduate na hawajiwezi ukiacha msukuma na Gwajima mwenye biashara yake ya kufufua misukule.Kumekuwa na tabia iliyojizolea umaarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee, muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao
Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.
Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Huwezi kutoa hoja bila kutukana ?Wewe ni mpumbavu soma ulichoandika.
Sasa ww unahis tunachat kumbe boya kbs ww hujui unaish dunia gani tofautisha kujua lugha na kua na maarifa. Hatuchat hapa mzee 😅😅 hata wasukuma wanweza kuchat na wakaelewna vzr tuHivi unaelewa hata maneno unayo tumia au wajiandikia tu ?!.
Bila hiyo elimu ya darasani mpaka sasa mimi na wewe tusingekuwa tuna chat mpaka muda huu.
Wewe ni mpumbavu sawa na kundi la watu wa aina yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo unakuta university bachelor degree students wanamepanga geti watatu wote wanalala chini kama mijusi
hata kununua kitanda hawawez wao ni vibukta na sendo mixer earphones tu
Ukiona hvo jua hana hoja😆Huwezi kutoa hoja bila kutukana ?
Ianze kwa fresh graduates wapya hasa wa 2025/26Unataka Bunge livunjwe? Maana wao wengi ni graduate na hawajiwezi ukiacha msukuma na Gwajima mwenye biashara yake ya kufufua misukule.
Huyu jamaa ni wale watu ambao wanatumia nguvu kubwa sana kuonekana wamesoma matokeo yake kuna mipaka wanavuka wanaumbuka, ni sawa na wale wanaolazimisha kujibu swali wasilolijua ilimradi wafosi kuonekana waasomi hata kwa kutumia miaasamiati, mtu hajui maana ya photosynthesis anajibu is the energy in relation to matter 😅Sasa ww unahis tunachat kumbe boya kbs ww hujui unaish dunia gani tofautisha kujua lugha na kua na maarifa. Hatuchat hapa mzee 😅😅 hata wasukuma wanweza kuchat na wakaelewna vzr tu
Hawa graduates wapya si ndio walifanya mtihani wa form four maswali yana majibu ya kuchagua?Ianze kwa fresh graduates wapya hasa wa 2025/26
Hawasomi kuondoa ujinga bali wanasoma kuwa wajinga!Kwa sababu gani ?
Ch aajabu kipi ? hata mitihani ya Marekani ipo kwa format ya kuchagua majibu, computer zinasahisha kwa urahisiHawa graduates wapya si ndio walifanya mtihani wa form four maswali yana majibu ya kuchagua?
Unaulizwa?
Tanzania ina mikoa mingapi?
1. 28
2. 51
3.120
swali lingine. Rais wa kwanza WA TANZANIA ni?
1. Nyerere.
2. Kenyatta.
3. Iddi Amini
4. Hakuna jibu
Kujitegemea si somo ila ni skills. Cheti wanapewa kuashiria wame complete series ya masomo fulaniKumekuwa na tabia iliyojizolea umaarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee, muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao
Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.
Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Wapumzisheni graduate sasa.Kumekuwa na tabia iliyojizolea umaarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee, muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao
Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.
Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?