Ni aibu Jiji la Mwanza siku 7 bila maji na Ziwa Victoria bado halijakauka

 Ni aibu Jiji la Mwanza siku 7 bila maji na Ziwa Victoria bado halijakauka

Mshangai

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2008
Posts
468
Reaction score
1,086
Hivi hii serikali yetu ipo kwa ajili ya nini? Kweli inakubalije jiji kubwa kama Mwanza ambalo liko pembezoni na ziwa kubwa kuliko yote Afrika la Victoria kukaa zaidi ya wiki na maeneo yake kukosa maji?

Nimetembelea hapa na kukuta baadhi ya maeneo mengi wakilalamikia hali hiyo na MWAUWASA wao kazi yao ni ku issue tu bill kila mwezi na hakuna maji.

Hivi Mungu angetupa ukame tungeweza kuhimili kama maji yapo na tunashindwa kusambaza.
Serikali hii imechoka kabisa.
 
Hivi hii serikali yetu ipo kwa ajili ya nini? Kweli inakubalije jiji kubwa kama Mwanza ambalo liko pembezoni na ziwa kubwa kuliko yote Afrika la Victoria kukaa zaidi ya wiki na maeneo yake kukosa maji?
Nimetembelea hapa na kukuta baadhi ya maeneo mengi wakilalamikia hali hiyo na MWAUWASA wao kazi yao ni ku issue tu bill kila mwezi na hakuna maji.
Hivi Mungu angetupa ukame tungeweza kuhimili kama maji yapo na tunashindwa kusambaza.
Serikali hii imechoka kabisa
Hao wanaweza kwenda kuchota ziwani,tuko busy na ambako hakuna.ziwa kwanza 😁😁

View: https://twitter.com/maji_mowi/status/1694296628947984476?t=dodguCJUzzpxo7Lj45FbfA&s=19

View: https://twitter.com/maji_mowi/status/1694228140128686358?t=qc4tdiE7GkPWXIf4YKrCrQ&s=19
 
Hivi hii serikali yetu ipo kwa ajili ya nini? Kweli inakubalije jiji kubwa kama Mwanza ambalo liko pembezoni na ziwa kubwa kuliko yote Afrika la Victoria kukaa zaidi ya wiki na maeneo yake kukosa maji?

Nimetembelea hapa na kukuta baadhi ya maeneo mengi wakilalamikia hali hiyo na MWAUWASA wao kazi yao ni ku issue tu bill kila mwezi na hakuna maji.

Hivi Mungu angetupa ukame tungeweza kuhimili kama maji yapo na tunashindwa kusambaza.
Serikali hii imechoka kabisa.
Tumesikia kilio chako kwa niaba ya wanamwanza wote.. hivyo bas kufikia 2080 tatizo hilo tutakua tumelimaliza mkuu!!
 
Aweso ameshakula kichwa cha mkurugenzi wa Mwauwasa tunasubiri mkurugenzi mpya mwanamama aliyewekwa hapo tuone namna alitafuna hill fupa,, Ila wafanyakazi wa Mwauwasa punguzeni ulevi mmezidi hadi mchana nyie ni kulewa tu mnatufungia mabomba yanapasuka tu hovyo hovyo,,
 
Aweso ameshakula kichwa cha mkurugenzi wa Mwauwasa tunasubiri mkurugenzi mpya mwanamama aliyewekwa hapo tuone namna alitafuna hill fupa,, Ila wafanyakazi wa Mwauwasa punguzeni ulevi mmezidi hadi mchana nyie ni kulewa tu mnatufungia mabomba yanapasuka tu hovyo hovyo,,
Sijajua Waziri alitumia vigezo gani kumpa hiyo nafasi yule Dada,uwezo wa hiyo kazi hana,namfahamu alikuwa Meneja Uhusiano pale DAWASA Dar es salaam.Pia ni mpigaji mzuri sana kwenye fidia za Wananchi wakati wa miradi ya maji,walikuwa na kakikundi kao ka kudhurumu Wananchi fidia zao baada ya maeneo yao kutwaliwa na serikali.
Familia yetu pia ishapigwa kwenye mradi fulani na nimekwenda sana pale,ukifika wanapanga watu wa kuwadanganya watu kuwa wakubwa hawapo!
Sasa mtu kama huyo atawasaidia nini watu wa Mwanza!
 
Sijajua Waziri alitumia vigezo gani kumpa hiyo nafasi yule Dada,uwezo wa hiyo kazi hana,namfahamu alikuwa Meneja Uhusiano pale DAWASA Dar es salaam.Pia ni mpigaji mzuri sana kwenye fidia za Wananchi wakati wa miradi ya maji,walikuwa na kakikundi kao ka kudhurumu Wananchi fidia zao baada ya maeneo yao kutwaliwa na serikali.
Familia yetu pia ishapigwa kwenye mradi fulani na nimekwenda sana pale,ukifika wanapanga watu wa kuwadanganya watu kuwa wakubwa hawapo!
Sasa mtu kama huyo atawasaidia nini watu wa Mwanza!
Kwamba jasiri haachi asili,,😂😂 ila wanasemaga shetani akizeeka anakuwa malaika,, tusubiri
 
Hivi hii serikali yetu ipo kwa ajili ya nini? Kweli inakubalije jiji kubwa kama Mwanza ambalo liko pembezoni na ziwa kubwa kuliko yote Afrika la Victoria kukaa zaidi ya wiki na maeneo yake kukosa maji?

Nimetembelea hapa na kukuta baadhi ya maeneo mengi wakilalamikia hali hiyo na MWAUWASA wao kazi yao ni ku issue tu bill kila mwezi na hakuna maji.

Hivi Mungu angetupa ukame tungeweza kuhimili kama maji yapo na tunashindwa kusambaza.
Serikali hii imechoka kabisa.
Maji ya ziwa yakiingia kwenye mabomba Sato na Sangara wanayaziba.
 
Mwananchi mmoja nchini kenya amefungua mashitaka mahakama kuu akitaka shule ya sekondari anayosoma binti yake, itakiwe kuimarisha usafi kutokana na kukithiri kwa kunguni.

Mwananchi huyo anaitaka shule iliyoko kaunti ya Mombassa iimarishe usafi kwani kunguni hao wanaathiri afya, haki ya mtoto wake kupata elimu na kumuathiti kisaikolojia.

Kwa mujibu wa gazeti la nation toleo la juzi, mahakama imeombwa kuamuru uongozi wa shule hiyo kuajiri kampuni yenye uwezo kuwaua kunguni hao.

Watanzania nani aliyewaaoga?
 
Sijajua Waziri alitumia vigezo gani kumpa hiyo nafasi yule Dada,uwezo wa hiyo kazi hana,namfahamu alikuwa Meneja Uhusiano pale DAWASA Dar es salaam.Pia ni mpigaji mzuri sana kwenye fidia za Wananchi wakati wa miradi ya maji,walikuwa na kakikundi kao ka kudhurumu Wananchi fidia zao baada ya maeneo yao kutwaliwa na serikali.
Familia yetu pia ishapigwa kwenye mradi fulani na nimekwenda sana pale,ukifika wanapanga watu wa kuwadanganya watu kuwa wakubwa hawapo!
Sasa mtu kama huyo atawasaidia nini watu wa Mwanza!
Wanasemaga mchawi mpe mwanao. Kama unayosema ni ya kweli basi akiendekeza ulafi kwa hiyo nafasi ataishia mikononi mwa Kaisari wa Butimba.
 
Back
Top Bottom