Ni aibu Kijana unaishi ndani ya Jiji kama Dar es Salaam halafu unateswa na mahusiano

Ni aibu Kijana unaishi ndani ya Jiji kama Dar es Salaam halafu unateswa na mahusiano

GenuineMan

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
6,260
Reaction score
14,470
Kabla ya yote, Maisha ni Mahusiano

Dar es Salaam kama yalivyo majiji mengi kuna idadi kubwa ya watu.

Na sehemu kubwa ya hao watu ni vijana.

Kila mwaka kuna idadi kubwa ya vijana wa kike na kiume wanaingia jijini, iwe kutafuta elimu, kutafuta kazi, na hata kutembelea ndugu. Na wengi hapo wanaloea huku huku.(hawarudi vijijini).

Ukipanda usafiri wowote humu jijini, utapishana nao wengi kila mahali.

Itashangaza kama kijana utakaa huna raha au unalialia eti kisa umeachwa.

Ingia bafuni, oga , vaa vizuri, ingia mtaani kutafuta pesa, "nyama utazikuta hukohuko zipo tele."

Tembea na hii kwa mwaka ujao, utakuja kunishukuru.
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
Stop being delusional kijana 😂😂
 
Back
Top Bottom