MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tukiachana na vyoo vya umma bado miji yetu inakosa kitu muhimu sana. SEHEMU ZA WATU KUVUTIA SIGARA.
Inakera sana kuona watu wakivuta sigara popote pale katikati ya mji na kuleta kero kwa wasiovuta.
Idara za afya kwenye miji yetu wanafanya nini kwenye nafasi zao kama jambo dogo kama hili linawashinda?
Tengenezeni sehemu za wavuta sigara kisha muwapige tozo kuingia hapo kuvuta sigara. Au ongezeni bei za sigara kupata pesa za kuendesha hizo sehemu. Sigara ziwe bei sawa na bia.
Inakera sana kuona watu wakivuta sigara popote pale katikati ya mji na kuleta kero kwa wasiovuta.
Idara za afya kwenye miji yetu wanafanya nini kwenye nafasi zao kama jambo dogo kama hili linawashinda?
Tengenezeni sehemu za wavuta sigara kisha muwapige tozo kuingia hapo kuvuta sigara. Au ongezeni bei za sigara kupata pesa za kuendesha hizo sehemu. Sigara ziwe bei sawa na bia.