Ni aibu kubwa sana mwanaume kumuomba kazi mwanaume mwenzio

Mkuu mbona mimi nilishaondokaga zaman sana kwa yule mama
 
Utajiajiri unazero mshiko, inabd ujitoe akili kiasi fulani upate pakuanzia, nawasilisha.
Ahaaa kama nimeanza kuelewa kwahiyo kuomba kaz kwa mwanaume mwenzio inabidi ujitoe akili kwanza siyo?
 
Mkuu sinaga tabia ya kuandika barua et ndo nipate kazi mimi mapambana mwenyewe
 
Kwan mkuu maisha yako yote lazima uish kwa kuajiliwa
 
Tatizo la JF unakuta wewe uliyeandika huu upuuzi huna kibaruwa hata cha kuuza maji barabarani, ni kalubandike tu.

Yupo mwenzako mmoja humu aliwahi kuandika upuuzi kama huu baadaye akajisahau anakuja na thread ya kuomba msaada wa pesa hapa hapa JF.

Kwa umri nilionao na uzoefu nilionao wa maisha, watu wa category yako huwa ni mafukara kupita maelezo na mnakabiriwa na msongo wa mawazo hivyo JF ndio sehemu yenu ya kujifariji.
 
Mkuu mbona mimi nilishaondokaga zaman sana kwa yule mama
nashukuru kwa kukubali hilo lakini ndugu yangu si unajua haya maisha ukiyaonea aibu nin kinafuata si tabu mtu kukuomba kazi maana anatafuta network ya kufanikisha ndoto zake sasa wewe umekuja kukandia kweli yani sio poa kabisa dahhh...
 
Mkuu sinaga tabia ya kuandika barua et ndo nipate kazi mimi mapambana mwenyewe
unapambanaje ngoja nianzie hapo... ili wengine wafanyie kazi ushauri wako maana uko tani kuna vijana 20,000+ hawana ajira na wengine wamekata tamaa kabisa ya maisha na wana elimu za juu...
 
Hiyo yote ni kutaka kutujulisha kwamba unakazi,,acha ushamba wewe na ukifa jizike mwenyewe
 
Mimi mwanaume vp unataka mume
Unaweza kuwa mtoto wa kiume lakini si Mwanamume. Wanaume hatuna akili ndogo kama za kwako, na hata ambao angalau Mungu ametubariki kiasi tunamrudishia shukrani Mungu, na hatuna dharau kwa wengine na note that there is permanent situation in life.

Huu ushujaa wengi mlionao ni wa nyuma ya keyboard tu, lakini tukija kwenye maisha halisi unakuja kugunduwa wewe huna status yoyote ya kuwa karibu nami. Ishukuru JF ni Anonymous ID ingekuwa kama Facebook mngeumbuka wengi, wengine miili yenu afya ni mgogoro kwashakoo tupu, ukija JF Anonymous na Kitecno chako cha 60,000/= inakuwa shida tupu.
 
Hiyo yote ni kutaka kutujulisha kwamba unakazi,,acha ushamba wewe na ukifa jizike mwenyewe
Hana kazi yoyote huyo ni Kalubandike tu, kuna watu Magufuli ameshawasababishia stress mtegemee sana vituko kama hivi hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…