Unaweza kuwa mtoto wa kiume lakini si Mwanamume. Wanaume hatuna akili ndogo kama za kwako, na hata ambao angalau Mungu ametubariki kiasi tunamrudishia shukrani Mungu, na hatuna dharau kwa wengine na note that there is permanent situation in life.
Huu ushujaa wengi mlionao ni wa nyuma ya keyboard tu, lakini tukija kwenye maisha halisi unakuja kugunduwa wewe huna status yoyote ya kuwa karibu nami. Ishukuru JF ni Anonymous ID ingekuwa kama Facebook mngeumbuka wengi, wengine miili yenu afya ni mgogoro kwashakoo tupu, ukija JF Anonymous na Kitecno chako cha 60,000/= inakuwa shida tupu.