Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singasinga na Rugemalila wana maisha mazuri jela kuliko wewe kibaka uliyeshindwa life la kitaa mpaka umenyoosha mikono na chakula chao wanachokula wewe unakiona kwenye brochure tu za mahotel.Sasa hao si ni mafisad mkuu acha yanywoshwe
Hiki ndo mlichobakiza kutuma makaratas yenu mnayoyaita barua za kaz polen sana vijana token nje ya box muone maisha yalivyo simple yaan ni kujipigia hela tuMAMLAKA YA MAPATO TANZANIA LEO HII IMETANGAZA NAFASI ZA KAZI 145 KWA NAFASI YA CUSTOMS OFFICER.SIFA ZA MUOMBAJI NI KUANZIA KIDATO CHA NNE MPAKA MASTAR DEGREE.BONYEZA HAPA KUOMBA KAZI>>>>JOB VACANCY:145 JOB POSITIONS AT TRA.CLICK HERE TO APPLY NOW - GAFLA TZ TAFADHARI SHARE NA MARAFIKI
LIKE PAGE HII KWA HABARI ZA MANUFAA TU
Bora nikacheki life mambele bongo kumenuka masela wanguHiki ndo mlichobakiza kutuma makaratas yenu mnayoyaita barua za kaz polen sana vijana token nje ya box muone maisha yalivyo simple yaan ni kujipigia hela tu
Kutwa nzims mnawaza kuajiriwa tu polen
Ukiwa muongo basi usiwe msahaulifu, Hapa JF kuna akili kubwa Young Man be carefully and watch ur ass.Hiki ndo mlichobakiza kutuma makaratas yenu mnayoyaita barua za kaz polen sana vijana token nje ya box muone maisha yalivyo simple yaan ni kujipigia hela tu
Kutwa nzims mnawaza kuajiriwa tu polen
[emoji23] [emoji23] yani yeye anamaanisha kuwa ni noma sana unaingia kwenye ofisi unamkuta mtu kakaa, unamwambia shikamoo naomba kaziMkuu uliwaza nini aise ukaandika hii kitu
Nimekosa jibu la kumpa nkaone nikuwe kimya tu[emoji40][emoji23] [emoji23] yani yeye anamaanisha kuwa ni noma sana unaingia kwenye ofisi unamkuta mtu kakaa, unamwambia shikamoo naomba kazi
Wewe uliyejiajiri,Kwenye hiyo sijui biashara yako whatever hujaajiri wanaume?..If yes,Huani kama unawatusi staff wako?Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Kumezuka mtindo wa aibu sana siku hizi kwa watoto wa kiume kuomba kaz kwa wanaume wenzao ni aibu kubwa sana mwanaume unaenda kwa mwanaume mwenzio kuomba kaz
Mwanaume hupigana mwenyewe kwa maunjanja yake siyo kusubili kuajiliwa na mwanaume mweziye ni aibu kubwa sana hii kwakweli badiliken bhana wanaume wenzangu kuomba omba kaz kwa wanaume wenzetu sio mpango kabisa
Yaan uko umekaa job ghafla unamuona jemba anakuja kukuomba kaz, bila hata aibu kaka naomba kaz aisee hii ni aibu kubwa sana
Cha ajabu wanaume wengine siku hiz wanaomba kaz had kwa wanawake jaman mtoto wa kiume hebu sturugle mwenyewe achana na habali za kuomba omba kaz huu ni mda wa kujiajili
Nawasilisha
LONDON BABY
tatizo humu hatufahamiani.We ulitaka waombe wapi?
Possibly mleta uzi anatumia kiungo kingine kufikiria tofauti na kichwaHahahaaa! Huyu jamaa hajitambui kabisa ndio maana mwishoni mwa huo upupu wake kaandika anajiita "LONDON BABY" sio buree huyu kuna kitu,,,,,,