Ni aibu kwa CHADEMA, Godbless Lema kuwa Mjumbe wa Kamati yake Kuu ya Taifa, nashauri avuliwe ujumbe haraka sana!

Yaani umeshawahi kuupandisha huu uzi kabla hujamtumia katibu auhariri. We jamaa una haraka sana.
 
Lema Ni mtu asiye Hekima Wala busara Hana adabu Wala staha,mdomo wake hauna chujio la kiuongozi,Hana breki Wala nati za kuufung mdomo wake pasipo stahiki kuzungumza,ujasiri wake upo katika ujinga na maneno ya kijinga na karaha mbele za watu
 
Unataka Chadema Wakate Mkono WA Kushoto Wa Mh.MBOWE?
 
Ebu tuwekee wajumbe wa3 wenye busara ccm.ukiacha Ssh
 
Tangia amekwenda huko Canada anabwabwaja sijui alikula maharage ya wapi huko.
 
Maria Sarungi Anasemaje Hapo Twitter Kuhusu Mh.Lema?
Ndege wafananao huruka pamoja,Maria sarungi hajawahi kufurahia mafanikio ya serikali yetu maana kula ya Tumbo lake inategemea upotoshaji wa makusudi na propaganda kupitia space zake ili akaombee pesa kwa wazungu,kwa Sasa Kasi ya mh Rais na kukubalika kwake na kuungwa mkono na watanzania wa makundi yote kumemchanganya Sana maria
 

Wewe nawe na namba zako za simu , unataka kumtumia Lema kupata chakula?. Yani wewe Ili uishi ni lazima useme watu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…