Ni aibu kwa maaskofu uchwara waliochagua kutokemea waouvu kuja kuwaombea msamaha waovu wao

Ni aibu kwa maaskofu uchwara waliochagua kutokemea waouvu kuja kuwaombea msamaha waovu wao

They should have warned him !! It's about time he dances to the tunes of MEMBE !!!
 
Nawafokea maaskofu uchwara na viongozi wote wa dini wanafki na wadhalimu kwa jina la mwenye enzi Mungu.

Wakati wa utawala dhalimu wa yule dictator uchwara,,lipo juha moja lilikua likitoka kifua mbele na kutukana watu pasi na hofu yoyote.

Matendo hayo maovu yalifumbiwa macho na kufurahiwa na wachumia tumbo na hawa maaskofu uchwara.

Mahakama imetoa maamuzi. Sasa, kwa mshangao mkubwa, wanajitokeza hawa maaskofu uchwara bila soni nyusoni mwao wala majuto ndani ya mioyo yao na kuliombea msamaha hilo juha.

Natoa rai kwa muheshimiwa Membe ambaye ni kipenzi cha wa-Tanzania, bila ya kupepesa macho, adabisha hilo juha kwa manufaa ya taifa.

Aidha, naomba nitangaze kuanzia leo, sina shirika na maaskofu hawa wanafki na wadhalimu, mwenye enzi Mungu awanyooshe, ili wawe mfano kwa wote wenye kusimamia haki wakachagua udhalimu

Wotee tuombe dua chongeshi na gombeshi. Amen
Acha kutukana viongozi wa dini utaadhibiwa na Mungu.
 
Acha kutukana viongozi wa dini utaadhibiwa na Mungu.
Viongozi WA Dini hususani ukristo ni wanafiki tunaona kipindi cha awamu ya 5 walivyokuwa machawa!

Walishindwa hata na sheikh ponda alikuwa anaongea live live kuwa hakubaliani na matendo ya awamu Ile. Hawa wapuuzi wasiokuwa na akili walikuwa wajinga Tu eti watumishi WA Mungu na walikaa kimya kipindi huyo musiba anamuita MEMBE ni JOKA LA KIBISA. Au umesahau?


Bernard membe shikilia hapo hapo huyu Musiba afilisiwe abaki na mwili wake Tu ili iwe fundisho Kwa watu wote wanaopenda kuwafanyia wenzako defamation.


Hao wanaojiita viongozi WA Dini kama wanaona imewauma wamwambie mungu amlipie Hilo Deni Musiba si huwa wanasema MUNGU ni TAJIRI kuliko kiumbe chochote duniani. Wanashindwa nini kumwambia mungu alipo hiyo bilion 9. Au si wachangishe sadaka kanisani walipe. Waache kujipendekeza. Kama walikaa kimya kipindi musiba anatukana watu waendelee kukaa kimya muda huu musiba akisilibwa.





Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Viongozi WA Dini hususani ukristo ni wanafiki tunaona kipindi cha awamu ya 5 walivyokuwa machawa!

Walishindwa hata na sheikh ponda alikuwa anaongea live live kuwa hakubaliani na matendo ya awamu Ile. Hawa wapuuzi wasiokuwa na akili walikuwa wajinga Tu eti watumishi WA Mungu na walikaa kimya kipindi huyo musiba anamuita MEMBE ni JOKA LA KIBISA. Au umesahau?
Mbona walikemea sana maovu au umesahau ule waraka wa KKKT ulivyokemea dhulma za haki mpaka yule jamaa akawachimba mkwara maaskofu huku Dr Shoo akisakamwa mpaka humu jamvini na machawa wa yule jamaa ?
 
Nawafokea maaskofu uchwara na viongozi wote wa dini wanafki na wadhalimu kwa jina la mwenye enzi Mungu.

Wakati wa utawala dhalimu wa yule dictator uchwara,,lipo juha moja lilikua likitoka kifua mbele na kutukana watu pasi na hofu yoyote.

Matendo hayo maovu yalifumbiwa macho na kufurahiwa na wachumia tumbo na hawa maaskofu uchwara.

Mahakama imetoa maamuzi. Sasa, kwa mshangao mkubwa, wanajitokeza hawa maaskofu uchwara bila soni nyusoni mwao wala majuto ndani ya mioyo yao na kuliombea msamaha hilo juha.

Natoa rai kwa muheshimiwa Membe ambaye ni kipenzi cha wa-Tanzania, bila ya kupepesa macho, adabisha hilo juha kwa manufaa ya taifa.

Aidha, naomba nitangaze kuanzia leo, sina shirika na maaskofu hawa wanafki na wadhalimu, mwenye enzi Mungu awanyooshe, ili wawe mfano kwa wote wenye kusimamia haki wakachagua udhalimu

Wotee tuombe dua chongeshi na gombeshi. Amen
Uko sahihi, Hakuna askofu hapa ni wajasilia dini. Ilibidi wajitokeze wakati ule huyu takataka akitenda maovu wamkemee bila woga au kudhuliwa na Magufuli. Leo eti ndiyo wanajitokeza kutetea upendo na msamaha. Bladifaken wajasilia dini
 
Maaskofu walifanya kazi kubwa sana kuushape ule utawala na kwa kiasi kikubwa walidaidia sana.Shida majuha kama ww mnataka Maaskofu wawe activists ndo muelewe.Waliifanya kazi yao quit professionally nawapongeza sana.
 
Maaskofu walifanya kazi kubwa sana kuushape ule utawala na kwa kiasi kikubwa walidaidia sana.Shida majuha kama ww mnataka Maaskofu wawe activists ndo muelewe.Waliifanya kazi yao quit professionally nawapongeza sana.
Sawa, tumekusikia, tunajua wewe ni mchepuko wa pengo
 
Maaskofu walifanya kazi kubwa sana kuushape ule utawala na kwa kiasi kikubwa walidaidia sana.Shida majuha kama ww mnataka Maaskofu wawe activists ndo muelewe.Waliifanya kazi yao quit professionally nawapongeza sana.
toka apaaa ww kazi gani iyo kubwa Zaid ya wizi wa sadaka na mapambio kwa Kiongozi wa maraika
 
Waswahili asilimia kubwa hawana Soni wala aibu
Unaweza kumtukana akawa anacheka na kukusujudia kama yule mzee aliekuwa anaambiwa MPUMBAVU ila kwa sababu ya woga na kufikiri kuwa anaegawa Riziki ni binadamu basi akawa anakubali kuitwa kila Jina na matusi yote

Hawa wanaojiita wachungaji au maaskofu nao ni wale wale wanafiki walioogopa kufungua midomo yao kisa wanamuogopa binadamu
Ingawa walikuwepo waliothubutu kuongea na wakaambiwa uraia wao una mashaka

Na hiyo ndio ilikuwa fimbo ya kuwachapia
Ukisema ukweli unaulizwa Uraia shame
 
Ni maaskofu gani hao usikute ruwaichi yumo nimlime barua ya ki papa
Ruwaichi yupo makini sana hakurupuki.

Pengo tangu aukane waraka wa maaskofu awamu ya nne sikuwahi kumwamini tena.

Awamu ya tano ndipo akawa 'hovyo' kabisa
 
Kwanza ningekua Mimi membe kama wamekuja kwangu eti kumuombea musiba msamaha ningewatimua kwangu kama mbwa Koko.

Huyo msiba wakati anatukana na kudhalilisha wengine mbona hao akina pengo hawakuwahi kumkanya? Sana sana walikua wakisifia uhuni uliokua ukifanyika!
 
maasikofu ubwabwa yaani kipindi kile jiwe anakula hadi wake za watu walikaa kimyaaaa kama vile hawapo.
.
20230324_092143.jpg
 
Back
Top Bottom