Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
Your browser is not able to display this video.
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Your browser is not able to display this video.
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira
Nimemsikia Mlevi mmoja wa Clouds Media wa Kuitwa DAKOTA akiutangazia Umma kwamba siku MOTSEPE akija Tanzania tummalize! Nikajisemea this is too much now, ambao hawakuskia hii watafute kipindi cha saa 6 usiku cha Clouds mambo ya Rhumbba.
Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
Camera zipo nyingi sana pia VAR haikutumika hata hiyo video iliyopo inaonyesha mpira ulivuka zaidi ya cm 30 kutoka kwenye goal line pengine labda wewe unavideo yako peke yako
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Nimemsikia Mlevi mmoja wa Clouds Media wa Kuitwa DAKOTA akiutangazia Umma kwamba siku MOTSEPE akija Tanzania tummalize! Nikajisemea this is too much now, ambao hawakuskia hii watafute kipindi cha saa 6 usiku cha Clouds mambo ya Rhumbba.
Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
Camera zipo nyingi sana pia VAR haikutumika hata hiyo video iliyopo inaonyesha mpira ulivuka zaidi ya cm 30 kutoka kwenye goal line pengine labda wewe unavideo yako peke yako
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Sasa kama hakuna goal line technology, refa aliamuaje kuwa lile sio goli wakati sote tunaona mpira ulivuka mstari kwa 100%?
Kwanini hakuamua ni goli ili tusimchallenge?
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Njoo na hoja ya msingi ya kutushawishi kuwa lile sio goli, maana hata sisi wana Simba tulioangalia ile mechi tuliona lile ni goli kwa 100%, sasa kama kuna hoja ya msingi ya kusema tofauti, tunaingoja kwa hamu ili tuwanange vilivyo utopolo, otherwise wanaSimba wote tutaonekana ni mbumbumbu kukataa sio goli.
Camera zipo nyingi sana pia VAR haikutumika hata hiyo video iliyopo inaonyesha mpira ulivuka zaidi ya cm 30 kutoka kwenye goal line pengine labda wewe unavideo yako peke yako
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Sasa kama hakuna goal line technology, refa aliamuaje kuwa lile sio goli wakati sote tunaona mpira ulivuka mstari kwa 100%?
Kwanini hakuamua ni goli ili tusimchallenge?
Njoo na hoja ya msingi ya kutushawishi kuwa lile sio goli, maana hata sisi wana Simba tulioangalia ile mechi tuliona lile ni goli kwa 100%, sasa kama kuna hoja ya msingi ya kusema tofauti, tunaingoja kwa hamu ili tuwanange vilivyo utopolo, otherwise wanaSimba wote tutaonekana ni mbumbumbu kukataa sio goli.