Ni aibu kwa Media, Waziri na Wachambuzi wa Michezo kutoa maamuzi Goli la Yanga bila kujiridhisha

Sasa kama hakuna goal line technology, refa aliamuaje kuwa lile sio goli wakati sote tunaona mpira ulivuka mstari kwa 100%?
Kwanini hakuamua ni goli ili tusimchallenge?
VAR wana camera kila angle tofauti na sisi tuna hiyo angle moja tu
 
kama kuna mtu aliangalia game ya totteham na luton anaweza akasema sisi wa Tanzania bado sana kwenye sheria mpya zinazotoka kila kukicha za mpira
Bora hata useme wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maradona alipofunga bao la kwanza Argentina vs England , World Cup 1986.
Lilikuwa goli la Mkono lakini hakuna aliyethibitisha kwa 100% isipo kuwa yeye kukiri baada ya miaka mingi.
Camera na Picha hadi leo hazikupi asilimia 100 . Wanaboresha miaka na miaka na bado binadamu hajakamilika.
Yanga wametolewa lakini hawajadhulumiwa bali wanadai walifunga goli Dk 59.. mpira ulivuka line kidogo na wanadai goli , refari na VAR wametoa maamuzi haukuvuka goli mpira wote sio goli.
DK ya 59. Je kuna matokeo yapi tata mengineo kabla na baada ya Dk hiyo?
Wao wanadai walinyimwa penalt ns Red Card, Yanga anadai kanyimwa goli.
Sasa kwa ujumla woote mwamuzi wa mwisho kaamua hakuna vyoote hivyo imma yupo sahihi au kakosea. Mpira una mwamuzi ujiandae na maamuzi yake ambayo ni ya mwisho. Simba dhidi ya Al Ahly kanyimwa penalt na Al Ahly kapewa penalt isiyo halali. Tumejifunza hawa wangefungwa kwa Mkapa zaidi ya bao 2. Tungewatoa, tatizo tuna bahatisha na kutaraji huruma wakati mpira kwa sasa ni pesa.. imekuwa vita.
 
Angalia hiii mtoa mada
 

Attachments

  • 2CgqgzAij14qHIwU.mp4
    2.3 MB
Hivi timu ya Yanga pekee ndiyo iliyowahi onewa CAfCL ? Hafu VAR kwenye issue ya Goli line haina msaada sana
 
Acha usenge ukiwa unaongelea team yako usilet mambo ya uyanki simba gani maenge tu wew
 
Angalia hiyo
 

Attachments

  • VID-20240407-WA0048.mp4
    16.2 MB
Walizoea Magoli ya mkono
 
Hivi timu ya Yanga pekee ndiyo iliyowahi onewa CAfCL ? Hafu VAR kwenye issue ya Goli line haina msaada sana
Timu nyingi mno zimeonewa. Hatua za awali ndio kabisa. VAR haina msaada.
Goal technology ndio jawabu. Lakini ni gharama kubwa saana. Uonevu la Yanga cha mtoto. Fuatilia kuanzia mwaka 2000 kija 2023. Caf Champions league na hata Afcon pia. Na huko latin America ni kama sisi tu. Mpira ni pesa na mpira ni siasa.
 
Kwa mamlaka niliyokuwa nayo nimeamua lile ni goli......🤣🤣🤣

Asante sana refa......umetunguzia kero kubwa Sana hapa mjini.,...
 
Camera zipo nyingi sana pia VAR haikutumika hata hiyo video iliyopo inaonyesha mpira ulivuka zaidi ya cm 30 kutoka kwenye goal line pengine labda wewe unavideo yako peke yako
Kaka ulisoma shule gani hujui hata centimita 30 inafananaje na upo humu??
 
Sasa wana yanga tulieni ,Mmekuwa kama watoto wadogo
 
Ajabu sana yule Mwana FA analeta hoja za kitoto yaani ovyo kabisa, mapema watu wanarise bila ya kutambua uhalisia
 
Kama kuna sehemu Yanga wamejichomeka CAF iangalie jinsi ya kuwapiga ban. Wanatupigia kelele
 
Wakakate rufaa waache kulialia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…