Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]My nimekumiss sana
kaz kwelwengine utakuta dume zima linasema ""jomooonii""......hivi dar mpoje
Da mkuu hiyo Avatar tunafanyajeMwanaume kumuita mwanaume mwenzio 'mwaya' ni tatizo, laaabda kwenye mtongozo kwa bidada adi 'my' ntaitumia
washika dau mnisamehee pale napojitahidi kuwa romantic kwa dada zenu
uuh !!!!Wewe mwenyew umekaa kimwayamwaya..empty set kabisa
Mkuu mimi situmi hilo la mleta mada, natumia hilo nililolitaja[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu utasabaisha watu wakufukirie vibaya wallah....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wacha weeeKuna lijamaa humu linanikeraga sana kwa kutumia maneno kama :-
mixxxuu...
fyuuuu...
jomoniiiii...
k...