harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Ata neno "jamani" halimfai mwanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima yako mkuu...Mkuu mimi situmi hilo la mleta mada, natumia hilo nililolitaja
Comrade.....Wacha weee
Nani huyo?
Ata neno "jamani" halimfai mwanaume.
Da mkuu hiyo Avatar tunafanyaje
Poa mkuuHeshima yako mkuu...
Poa mkuuComrade.....
Misitaki bifu kama la huyu ninae mjua na yule nilie mfaham
Mkuu iyo avatar niaje niaje [emoji54][emoji54][emoji54]au mwanaume wa mkoa utakuta linasema xaxa baxi kana kwamba kuandika sasa basi halijui. au utakuta linaimba wimbo wa "nampa papa" ya gigi mane mbele ya wanaume wenzake dah!
Tumia My kwenye lugha ya bepari...Poa mkuu
Mimi nikitumia My,
mf. My love ambapo kwa kiswahili ni sawa na ''Mpenzi wangu''
Inaleta maana nzuri na ya kawaida sana ambayo haiwezi kuleta dhana kama hizo mnazozifikiria.
True!kama wewe ni mwanaume halafu mwanaume mwenzio ndio anakuambia maneno hayo nadhani wewe ndio mwenye matatizo zaidi!!!!
Mkuu iyo avatar niaje niaje [emoji54][emoji54][emoji54]
aiseeeMy nimekumiss sana