jmapunda JF-Expert Member Joined Jul 9, 2015 Posts 731 Reaction score 2,923 Jan 27, 2018 #81 Neno jingine linaloniletea ukakasi likitamkwa na dume ni 'Nafwaa. '
MKANDAHARI JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 5,727 Reaction score 6,615 Jan 27, 2018 #82 Dume zima utasikia linasema "uwiii" huu ni ushoga mzee.. Dar Kuna Nini? Ni wakati Sasa chipsi zikafanyiwa research
Dume zima utasikia linasema "uwiii" huu ni ushoga mzee.. Dar Kuna Nini? Ni wakati Sasa chipsi zikafanyiwa research
Dong Jin JF-Expert Member Joined Jun 4, 2018 Posts 968 Reaction score 2,034 Jul 5, 2020 #83 Jomoni mwaya nimekumixx..!! hahahaaah!
Dong Jin JF-Expert Member Joined Jun 4, 2018 Posts 968 Reaction score 2,034 Jul 5, 2020 #84 Dong Jin said: Jomoni mwaya nimekumixx..!! hahahaaah! Click to expand... sasa hapo sijui kanichanganya na nini? duh! kiswahili kipana sana wajuba
Dong Jin said: Jomoni mwaya nimekumixx..!! hahahaaah! Click to expand... sasa hapo sijui kanichanganya na nini? duh! kiswahili kipana sana wajuba
raxx JF-Expert Member Joined Apr 9, 2016 Posts 326 Reaction score 284 Sep 7, 2020 #85 Kuna Jamaa nilimblock kisa kutumia neno " my" , na kunitumia sms za Good night ....nikamblokilia mbali!! Mwanaume huwezi kumwambia mwenzako Good Night.
Kuna Jamaa nilimblock kisa kutumia neno " my" , na kunitumia sms za Good night ....nikamblokilia mbali!! Mwanaume huwezi kumwambia mwenzako Good Night.