Ni aibu kwa mwanaume kutumia neno 'mwaya'

Neno jingine linaloniletea ukakasi likitamkwa na dume ni 'Nafwaa. '
 
Dume zima utasikia linasema "uwiii" huu ni ushoga mzee..

Dar Kuna Nini? Ni wakati Sasa chipsi zikafanyiwa research
 
Kuna Jamaa nilimblock kisa kutumia neno " my" , na kunitumia sms za Good night ....nikamblokilia mbali!! Mwanaume huwezi kumwambia mwenzako Good Night.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…