Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mtag huyo mdogo ako unaeishi nae ili tumjueNi aibu sana kwa mwanaume mwenye umri kwanzia miaka 25+ kuishi kwa mashemeji,wazazi au wapenzi wenu kwa kisingizio cha kumaliza chuo eti bado huna kazi
Hivi huoni hata aibu mtoto wa kiume kupigania remote na wadogo zako? Huoni aibu kuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka unamfanya hadi dada yako hafurahii ndoa yake??
mageto yamejaa kibao nenda kapambane na changamoto za maisha
Mxieeeeeeeeeeeew
Sijakuelewa unatangaza sifa za kijana wenu siungeanzisha Uzi kumhusu yeye mbon unaenda njee ya mada huku umevimbaMungu amsaidie dogo janja wetu last born aajiriwe permanent na kufanikiwa zaidi thou keshajiwekea msingi mzuri na hamtegemei tena big sister. We love you our young bro E.
Thanks God
Cc Smart911
Hivi mnahalalisha vipi kila mtu anazaliwa kijijini? Mkuu hebu pevuka basiMkuu, ebu fanya umpe nauli huyo kakayako arudi tu kijijini. Maana unapo lalamika humu hakuna msaada wenye utapata.... tehteehhh
Ofcourse nampongeza na kumuombea heri make ni wa kiume na alikuwa anakaa kwa big dada mwenye familia yake. Mimi nilikaa kwa shem mpaka nikaajiriwa permanent ndo nikatokaSijakuelewa unatangaza sifa za kijana wenu siungeanzisha Uzi kumhusu yeye mbon unaenda njee ya mada huku umevimba
Nakwambia we hujatembea na vyeti,mi mpaka stationery ya jirani walinikaririr wakaanza kunipa bahasha na karatasi za bure kwa kuwa nilishakua mteja wa bahasha kwa muda mrefuMimi mwanzo nilitembea na vyeti mpaka nikachoka. Badae Nikafanya mpka interview holaa.
Nikaamua kusubiri ajira tu huku nafanya hio tempo
Cc Smart911
Siwezi badilika mkuu, sababu hata mimi natokea huku Imalamagigo karibu na Shikalibuga njiapanda ya kuelekea NyamakwenkeHivi mnahalalisha vipi kila mtu anazaliwa kijijini? Mkuu hebu pevuka basi
Haaaaaaaa acha tu.. Nilitembea mpaka. Bora kipindi kile sikuhizi ndo mpaka hurumaNakwambia we hujatembea na vyeti,mi mpaka stationery ya jirani walinikaririr wakaanza kunipa bahasha na karatasi za bure kwa kuwa nilishakua mteja wa bahasha kwa muda mrefu
kritika inaelekea kuna mmoja anaishi kwako 😀😛😉Ni aibu sana kwa mwanaume mwenye umri kwanzia miaka 25+ kuishi kwa mashemeji,wazazi au wapenzi wenu kwa kisingizio cha kumaliza chuo eti bado huna kazi
Hivi huoni hata aibu mtoto wa kiume kupigania remote na wadogo zako? Huoni aibu kuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka unamfanya hadi dada yako hafurahii ndoa yake??
mageto yamejaa kibao nenda kapambane na changamoto za maisha
Mxieeeeeeeeeeeew
Siku hizi inabidi mzazi akusomeshe,akuandalie na mtaji kabisa.Ukimaliza tu chuo upewe chako ili usije kumchosha kubanana nae nyumban,kukaa nyumbani bila kazi napo unachokwa mapema
Pilipili iko shamba inakuwasha vipi?Ni aibu sana kwa mwanaume mwenye umri kwanzia miaka 25+ kuishi kwa mashemeji,wazazi au wapenzi wenu kwa kisingizio cha kumaliza chuo eti bado huna kazi
Hivi huoni hata aibu mtoto wa kiume kupigania remote na wadogo zako? Huoni aibu kuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka unamfanya hadi dada yako hafurahii ndoa yake??
mageto yamejaa kibao nenda kapambane na changamoto za maisha
Mxieeeeeeeeeeeew
MxieeewNi aibu sana kwa mwanaume mwenye umri kwanzia miaka 25+ kuishi kwa mashemeji,wazazi au wapenzi wenu kwa kisingizio cha kumaliza chuo eti bado huna kazi
Hivi huoni hata aibu mtoto wa kiume kupigania remote na wadogo zako? Huoni aibu kuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka unamfanya hadi dada yako hafurahii ndoa yake??
mageto yamejaa kibao nenda kapambane na changamoto za maisha
Mxieeeeeeeeeeeew
Inawezekana kabisa unaandika hivi sebuleni kwa shemeji/dada yako....🙂Hivi unawezaje kukaa kwa shemeji yako??..
Ushi leo umepuliza ee?? Kha eti nyamakwenke [emoji23] [emoji23] [emoji23].Siwezi badilika mkuu, sababu hata mimi natokea huku Imalamagigo karibu na Shikalibuga njiapanda ya kuelekea Nyamakwenke
Acha masihara mkuu..Inawezekana kabisa unaandika hivi sebuleni kwa shemeji/dada yako....🙂
Dah una sound kama rafiki yangu mmoja akija home lazima aniambie unamuachaje huyu shem wako umkule tuShem wako haku kuzoza?
Maana ndio tabia zetu kukula mashemela walio nona..... tehteehhh
Sijapuliza mkuu, sema hapa ndio namalizia mabaki ya lile jibapa la jana, karibu tupombeke kwa faida.....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Ushi leo umepuliza ee?? Kha eti nyamakwenke [emoji23] [emoji23] [emoji23].
hao wa mujini hao hongera yao wacha wabushi tukomae tupambane na hali zetu
Cc Smart911
Mkuu, ebu fanya basi hisani unitumie namba ya huyo shemela ake na wewe....[emoji39] [emoji39] [emoji20]Dah una sound kama rafiki yangu mmoja akija home lazima aniambie unamuachaje huyu shem wako umkule tu