Ni aibu kwa mwanaume

Ni aibu kwa mwanaume

Mkuu, ebu fanya basi hisani unitumie namba ya huyo shemela ake na wewe....[emoji39] [emoji39] [emoji20]
***** nimlishe alafu uje ubabue kilaini acha wale wakware wanaojifanya lete Cv zako kuna mchongo;wewe unaonekana kabisa team bazazi
 
***** nimlishe alafu uje ubabue kilaini acha wale wakware wanaojifanya lete Cv zako kuna mchongo;wewe unaonekana kabisa team bazazi
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ni aibu sana kwa mwanaume mwenye umri kwanzia miaka 25+ kuishi kwa mashemeji,wazazi au wapenzi wenu kwa kisingizio cha kumaliza chuo eti bado huna kazi

Hivi huoni hata aibu mtoto wa kiume kupigania remote na wadogo zako? Huoni aibu kuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka unamfanya hadi dada yako hafurahii ndoa yake??
mageto yamejaa kibao nenda kapambane na changamoto za maisha


Mxieeeeeeeeeeeew

Haya wamekusikia ngoja wanakuja
 
***** nimlishe alafu uje ubabue kilaini acha wale wakware wanaojifanya lete Cv zako kuna mchongo;wewe unaonekana kabisa team bazazi
Huyo ni shemeji yako, ndio unatoa povu namna hii... Sasa angekua dada yako, sindio ungeniua kabisa....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
haya mengine majaribu hivi sasa ikitokea wakagombana ,afu dada yako akaondoka na wewe utaondoka au utabaki!?
 
Back
Top Bottom