Ni aibu kwa taifa letu kumuona Prof Abdulrazak Gurnah kama shujaa wa taifa letu, wakati huko nyuma hajawahi kutambuliwa kwa kazi alizofanya

Ana asili ya Zanzibar sio Tanzania, aliondoka kabla ya kuundwa Tanzania.
Jambo la kwanza, rekebisha maelezo, kwa mujibu wa katiba yetu huyo sio mtanzania ila ana asili ya Tanzania.
 

Kila jambo na wakati wake
 
Ana asili ya Zanzibar sio Tanzania, aliondoka kabla ya kuundwa Tanzania.

Sahihi kabisa ila kwa vile hii habari ni ya hivi karibuni, sio mbaya tukisema Tanzania.
 
Akija Tanzania ataruhusiwa kumiliki ardhi, kupiga kura na kugombea ubunge?
 
nasema hiv mahali ambapo kitovu chako kikizikwa ndio kwenu.period.
gulnah ni mtanzania
kazi indeleee.#safari YA UNGA imeanza kuleta matokeo chanya.
kazi iendelee.
 
Sio watu wote ni wachawi wanaozika vitovu
nasema hiv mahali ambapo kitovu chako kikizikwa ndio kwenu.period.
gulnah ni mtanzania
kazi indeleee.#safari YA UNGA imeanza kuleta matokeo chanya.
kazi iendelee.
 
Ndugu nami sina lengo la kukupinga... ni bahati mbaya sana, kuna wengine wanapenda kuingiza siasa hata kwa mambo ya kijinga, matokeo yake wanashindwa kuwa objective na matokeo yake kutawaliwana jazba! Na kwavile wanaweka jazba mbele, au inawezekana ni kwa sababu tu ya kuwa na uelewa hafifu, wanashindwa kuelewa hoja yangu...

Binafsi, SIJAKUBALI wala KUKATAA kwa sababu wanaofanya lolote kati ya hayo, wanafanya kwa kusukumwa na hisia, na si vinginevyo!!

Nikirudi kwenye mchango wako, post yako ya juu, umesema unamjua in personal lakini hapa unasema...
Hukukamilisha maneno yako. alikwenda uingereza kama mkimbizi siyo mhamiaji au mzamiaji, pia alikwenda kama mkimbizi kutoka nchi ya zanzibar sio tanzania kwani kwa wakati huo tanzania haikuwepo kabisa!!!!!
Maelezo hayo hapo juu yanatia shaka kumfahamu kwako kwa sababu nimesoma sources nyingi sana za kuaminika. Ingawaje kuna inconsistency lakini ZOTE zinaonesha aliondoka ZNZ wakati mapinduzi yameshapita kitambo!!

Kwenye Biography yake iliyoandikwa Chuo Kikuu cha Kent alikofanyia kazi kwa miaka kadhaa, inaonesha amezaliwa 1948 na aliondoka ZNZ akiwa 18! Hapo utaona ni somewhere 1966... 2 years of revolution!!

Kwenye mahojiano yake na The Guardian UK back 2001 alisema:-
Unaona hapo anakuambia aliingia UK in the late 1960's! Je, hadi late 1960's hapakuwa na nchi inayoitwa Tanzania?!

Na kwa kawaida mtu unaweza kusahau yote lakini sio ubaguzi, na ndo maana bado alikuwa anamkumbuka Enoch Powell who made "his classical allusion to the Tiber"

What can we learn from it?

Waingereza wenyewe, kupitia BBC wanasema:-
Mzee Razak anakumbuka hiyo speech ya Kaburu la Kiingereza ambayo aliitoa 1968, just months baada ya kuingia UK!!

Na hata waliomfanya hivi atambulike duniani kote, yaani watoaji wa Nobel Prize, nao wanaandika bio yake kwamba:-
Gurnah belonged to the victimised ethnic group and after finishing school was forced to leave his family and flee the country, by then the newly formed Republic of Tanzania. He was eighteen years old.
Sasa how come mnadai aliondoka kabla ya Muungano,?! Ina maana wote hao wamedanganya?! Hata waajiri wake wamedanganya?

Na kuweka kumbukumbu sawa, sijamtaka yeyote atoe passport kwa sababu siwezi kuleta ubishani wa kijinga namna hiyo... yaani ubishani wa mtu umeshindwa halafu unajificha katika kutaka ushahidi unaojua kabisa sio rahisi kupewa!

I'm not that person!!

Nilichosema mimi ni kwamba, INAWEZEKANA kabisa kwamba Mzee Abdul Razak akawa ni raia wa UK lakini SIJAONA source HATA MOJA inayosema kwamba ni raia wa UK! Ambacho niliwaomba watu ni realiable source, na kwa muktadha huu, media inayoheshimika!!

That's a simple evidence to ask but no one yet has provided any! Na kuonesha kwamba sio NAKOMALIA kwamba yeye ni Mtanzania jambo ambalo HALINA faida yoyote kwangu, whether he's Tanzanian or not, ndo maana post yangu ya kwanza kabisa juzi nilihitimisha kwa kusema:-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ