Ni aibu lakini hakuna jinsi

Wanawake wanaongopeana ukifanya hivyo mwanaume anasimamisha haraka,Ila siku huyu manzi akijaribu Lazima nifanye majaribio yangu kama Best yangu Kiduku!
Hiyo jaribu jaribu inahitaji mrejesho
 
Picha halisi tu ni kuwa huyo dada anatabia za Kisagaji hivyo anajaribu kuonyesha hisia zake AU amezoea kufanywa kinyume cha maumbile hivyo anapeleka ujumbe kwa huyo mwanaume...

Jibu ni rahisi sana. Afuate hatua hizi kupata suluhisho...
1/Akae chini amuhoji kuhusu hicho kitu.
2/Amshauri kuacha hiyo tabia.
3/AMUACHE.
 
Inasikitisha sana...

Hapa namashaka na huyo rafiki yako robert... Kuna kitu kimejificha hapa...


Marekani si ndiyo kwenye uhuru wa karibia kila kitu... Labda hilda anampima jamaa yake kama anafanyiwa huo mchezo...



Cc: mahondaw
 
Ujumbe maridhawa naufikisha
 
Inasikitisha sana...

Hapa namashaka na huyo rafiki yako robert... Kuna kitu kimejificha hapa...


Marekani si ndiyo kwenye uhuru wa karibia kila kitu... Labda hilda anampima jamaa yake kama anafanyiwa huo mchezo...



Cc: mahondaw
Kama ni hivyo huko america ni balaa
 
Inasikitisha sana...

Hapa namashaka na huyo rafiki yako robert... Kuna kitu kimejificha hapa...


Marekani si ndiyo kwenye uhuru wa karibia kila kitu... Labda hilda anampima jamaa yake kama anafanyiwa huo mchezo...



Cc: mahondaw
Mkuu na ww je ikotokea Cc bahati mbaya kama mtoa mada alivyosema akaingiza vidole kunako itakuaje ??
 
Jamaa ametiws kidole naye akakubali zaidi ya mara moja? Bila shaka huyo mwanamke atakuwa ameshatimiza dhumuni lake. Kukaa kimya kwa huyo jamaa ni udhaifu wa kijinga sana.
 
Jamaa ametiws kidole naye akakubali zaidi ya mara moja? Bila shaka huyo mwanamke atakuwa ameshatimiza dhumuni lake. Kukaa kimya kwa huyo jamaa ni udhaifu wa kijinga sana.
Mara ya kwanza alijua bahati mbaya
 
Huyo mchumba labda naye anataka aingiziwe dyudyu kunako nanihii.....!
 
Huyu bwana asimamame kama mwanaume. Amkanye mpenz wake kuwa hiyo tabia haipendi. Sasa yeye anaingiziwa kidole alaf anakuja kukulalamikia?
Grow a spine and be a man
 

Akimuoa tu baada ya mwaka atamwingiza dildo kubwa kama tango [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umerogwa wewe Kama Ulishawahi kuishi Pwani Ukachomekwa Kidole Ni wewe Acha Ukuda Unaisimulia Ishakunyeshe Enh!!!!
Acha kuleta USAMBAA wako hapa,na nyie huko milimani Lushoto mbajiona mko Pwani..?
 
Ila kuna mengi inawezekana huyo Dada ni mtumiaji wa matandao pendwa,msagaji,au anataka kumpima mshkaji kama kafumuliwa malinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…