Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Huyaa Dr

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
312
Reaction score
874
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.

Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Majitu na akili zao eti yanapokea mapipa yanayopaa! Pumbavu kabisa.
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Ushamba na ulimbukeni tu waliorithishwa na yule dhalim
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Mkuu lipia king'amuzi, mbona channels zipo nyingi za kuangalia
 
We chawa tulia wazalendo tujadili mustakabali wa nchi yeti.Ninyi hamna future yoyote zaidi ya kufikiri leo
Mnajadili kitu gani mkuu..wazalendo tumeipokea na tunakata tiketi
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.

Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Hii Nchi ni kama kijiji tu. Tunaishi kama manyani.
 
Back
Top Bottom