Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo mtembea peku?Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,[emoji419][emoji375]Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Watanzania wanataka KUONA.....Mimi binafsi huwa sipendi kuona kiongozi mkubwa anapokea ndege au kufungua daraja.
Inaomywsha jinsi vision yetu ilivyo myopic. Yaani gharama ya kupokea ndege inajenga madarasa.
ushamba ni mzigo kwa kweli. Nchi haina ajenda, wamerithi utapeli wa magufuli. Makamu anapokea Ndege, Rais anakagua bustani QATAR badala wake wajifungie kutafakari namna ya kuondoa changamoto ya Umeme.Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Na wenzako wakisema wasikilize...Wananchi hawana umeme wa uhakika wala maji safi ya kunywa wao wananunua madege kila siku.
Hawa watu ni useless!
Sanasana wanawarahisishia wanaotudai mabilioni ya hela kupata assets za kukamata ili tulipe hayo madenui tu!
Tatizo la umeme litakoma 3/2024....ushamba ni mzigo kwa kweli. Nchi haina ajenda, wamerithi utapeli wa magufuli. Makamu anapokea Ndege, Rais anakagua bustani QATAR badala wake wajifungie kutafakari namna ya kuondoa changamoto ya Umeme.
Chadema kusudio ni kuyauza yote watu watumie baiskeli na punda!Majitu na akili zao eti yanapokea mapipa yanayopaa! Pumbavu kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chadema kusudio ni kuyauza yote watu watumie baiskeli na punda!
Noma sana !Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Jamani...zitatijazia pakrkingKwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz
Jamani watatujazia Parking hapo NIA, TARURA hilinalo mulitizame, pelekeni watu wa parking fee....Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Hizo stori za "huu ndo utakuwa mwarobaini wa umeme" tumezisikia toka kitambo sana, ila kila mwaka mgao uko palepaleNa wenzako wakisema wasikilize...
Jukumu wamepewa....
Tatizo la umeme mwisho mwezi wa 3/2024.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app