mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Mimi ni wa mjini kweli kweli na pia shughuli zangu zilikuwa ni lazima nisafiri mara kwa mara sehemu zote za Nchi !!walipishana kwa sana tu ijapokuwa JKN alitaka kuwafanya sawa kama Mao Ze Dong - yaani kwenda na sera za kikomunist.
Labda huko kwenu vijijini ndiyo maisha mulikuwa sawa lakini siyo mjini
Kwahiyo najua hali halisi ilivyokuwa !!