Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Na kama ni political benefits basi wanaipata kwa kuwapumbaza wananchi maana kwenye kura wana uhakika na mabao ya mkono.
 
Inawakera kweli hawapendi kusikia mafanikio ya awamu ya kwanza wanaumia kwa husuda za kijinga.Elimu na matibabu bure sio kama sasa kuna geresha ya majengo tu huku gharama zikiwa juu,kuna siku pale wodi ya sewahaji muhimbili kuna mgonjwa alifanyiwa upasuaji nesi akaja na kumwambia unatakiwa uondoke na wenzako walale kwa sauti ya ukali hadi tukashangaa,nilikuja baini kumbe kitanda ni deal kwao wanapata mshiko.Wanazusha uongo eti Nyerere akiona kwenye tv kesho anasema ameota na kuna majinga yanaamini!
Kwahiyo hizo huduma bure kwenye awamu ya kwanza watanzania awakulipa kodi?!!
Wakulima wa kahawa,kakao,pamba walitozwa pesa nyingi zilizokwenda kulipia hizo bills.Kodi ya kichwa nk....vijana bhana
 
Kwenye hii nchi ya Kusadikika tumebarikiwa kila kitu! Kasoro viongozi bora tu wa kuliongoza Taifa.

Imagine maeneo mengi ya nchi watu wanahangaika kwa kukosa maji safi na salama! Huku tukiwa tumezungukwa kila kona na mito mikubwa, maziwa makubwa, mabwawa, bahari, nk

Wananchi wanateseka kwa mgao wa umeme wa miaka nenda huku tukiwa na vyanzo lukuki vya kuzalisha umeme wa uhakika! Miundombinu mibovu ya barabara! Huduma mbovu za afya, elimu! Nk.

Badala ya viongozi kumaliza kabisa kero za aina hii! Wao wako busy kuteuana na kutenguana! Kununua ndege, kununua magari ya kifahari, kulipanda posho nono, kufanya ufisadi, nk.
Ngoja nipite kimya kimya hapa !! 😱
 
Kwahiyo hizo huduma bure kwenye awamu ya kwanza watanzania awakulipa kodi?!!
Wakulima wa kahawa,kakao,pamba walitozwa pesa nyingi zilizokwenda kulipia hizo bills.Kodi ya kichwa nk....vijana bhana
Kodi zililipwa na kodi ziliwarudia tena walipa kodi kwenye huduma za kijamii ambazo zile zilizokuwa ni za bure basi ujue zilikuwa ni bure kweli na za uhakika !!
Sisi wengine tulikuwepo ndio maana tunajua tunachokisema !!
 
Ni ndege ipi mpya alinunua Nyerere? Yeye aligaiwa mitumba ya iliyokuwa East African Airways.
Kwa taarifa yako baada ya shirika la ndege la afrika mashariki kufa ATC ilipoanzishwa ilinunuliwa ndege mpya aina ya B732 Nakumbuka mbili zilliku n a registration 5HMRK na 5HATC. Ambazo baada ya Nyerere kustafu ziliuzw kifisdi kw shirika la Afrika ya Kusini na Atc kutumia ndege za kukodi toka Afrika y Kusini. Mkuu kumbuk kutoongea kable hujafanya research.
 
Kodi zililipwa na kodi ziliwarudia tena walipa kodi kwenye huduma za kijamii ambazo zile zilizokuwa ni za bure basi ujue zilikuwa ni bure kweli na za uhakika !!
Sisi wengine tulikuwepo ndio maana tunajua tunachokisema !!
Kwani mliokuwepo na wewe tu? Ata mimi nilikuwepo....yaani umelipa kodi ili utape huduma alafu useme nimepata hudumu bure....Tuwe wa kweli na makini sana.
 
Kwahiyo hizo huduma bure kwenye awamu ya kwanza watanzania awakulipa kodi?!!
Wakulima wa kahawa,kakao,pamba walitozwa pesa nyingi zilizokwenda kulipia hizo bills.Kodi ya kichwa nk....vijana bhana
Kwa hiyo sasa hivi huduma zimekuwa juu kwa sababu hatulipi kodi?wewe huoni tofauti hapo?Maendeleo haya ambapo kuna magari mengi lkn 99%(kwa raia)ni used?waziri kasema Dar ndege kuiona hadi lisaa lipite kwa hiyo suluhisho ni kununua ziwe nyingi?!kipindi cha Mwalimu ndege zilikuwa nyingi hata zikipishana hushangai na mashirika makubwa kama british Airways,sabena,klm,lufhansa,ethiopia.....mengi hayapo.Unadhani yalikuwa yanakuja kujifurahisha tu?
 
Tusiende mbali huko Kakonko Wala Masasi. Hapa Dar baadhi ya shule za msingi watoto wanakaa chini kwenye mavumbi. Halafu watu wananunua ndege ya mabilioni na kwenda kuipaki.
Niwaulize CCM na kina FaizaFoxy, ATCL Ina serve mikoa mingapi Tanzania.
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.

Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Uongozi wa majaribio
 
Kwani mliokuwepo na wewe tu? Ata mimi nilikuwepo....yaani umelipa kodi ili utape huduma alafu useme nimepata hudumu bure....Tuwe wa kweli na makini sana.
Kweli hapo kama tumechanganyikiwa kidogo na zile nidhamu zetu za kizamani 😅
Hata tukienda dukani huwa tunasema naomba sukari huku ninampa pesa muuzaji duka 😅😅🙏
 
Kwa hiyo sasa hivi huduma zimekuwa juu kwa sababu hatulipi kodi?wewe huoni tofauti hapo?Maendeleo haya ambapo kuna magari mengi lkn 99%(kwa raia)ni used?waziri kasema Dar ndege kuiona hadi lisaa lipite kwa hiyo suluhisho ni kununua ziwe nyingi?!kipindi cha Mwalimu ndege zilikuwa nyingi hata zikipishana hushangai na mashirika makubwa kama british Airways,sabena,klm,lufhansa,ethiopia.....mengi hayapo.Unadhani yalikuwa yanakuja kujifurahisha tu?
Mbona kwasasa ndege ni nyingi kuliko ata zamani....zamani kuna mikoa aikua na viwanja vya ndege Leo vipo na huduma zipo.Ukiangalia ata population ya awamu ya kwanza na Leo ni vitu tofauti kabisa...bara bara za lami,shule,hospitali, vyuo nk
 
Kweli hapo kama tumechanganyikiwa kidogo na zile nidhamu zetu za kizamani 😅
Hata tukienda dukani huwa tunasema naomba sukari huku ninampa pesa muuzaji duka 😅😅🙏
Hizi ni hisia zaidi ya uhalisia
 
Kenya hawana mambo ya kijinga kama haya.
Ruto kawapiga fiksi za ajira digital jobs 300,000 kwenye makampuni ya Apple, Google na Intel.

Kwamba vijana wa Kenya wataajiriwa na hizo kampuni wakati inajulikana kwamba hizo kampuni zipo kwenye zoezi kali la costs cutting ikiwemo kupunguza maelfu ya wafanyakazi.

Tena kapiga hizo fiksi akiwa kanisani..[emoji51]...the guy is a serial liar, msidanganyike!
 
Ruto kawapiga fiksi za ajira digital jobs 300,000 kwenye makampuni ya Apple, Google na Intel.

Kwamba vijana wa Kenya wataajiriwa na hizo kampuni wakati inajulikana kwamba hizo kampuni zipo kwenye zoezi kali la costs cutting ikiwemo kupunguza maelfu ya wafanyakazi.

Tena kapiga hizo fiksi akiwa kanisani..[emoji51]...the guy is a serial liar, msidanganyike!
Nje ya Mada wewe uliona wapi Makamu wa Raisi Kenya akichoma fedha za kodi za wananchi kwenda kuzindua Ndege?
 
Kweli kabisa majirani wakiona haya mambo wanatuona manyani tu
Nyinyi ndio mnaofurahia ajali za mabasi na idadi ya vito cya abiria....ndio tafsi rahisi...ivi ukikakataa kufurahia la kufurahia si utafurahia ya ya huzuni na vito? Basi kama hutaki kufurahia ndege subiri dqraja likatwe na mafuriko ufurahi....ivi ni mtanzania GANI mwenye akili ataichukia CCM!
 
Mkuu kumbuk kutoongea kable hujafanya research.
nadhani ni nyinyi munahitaji kufanya research, hapa kila aliyenijibu amekuja na stori yake kuhusu ndege za ATC - wengine ATC ilikodi kutoka Kenya na Brazil, mwengine sijui wapi, mwingine zimenunuliwa ..... nani sasa anasema ukweli?
 
Back
Top Bottom