Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Ni aibu mapokezi ya ndege Tanzania

Tunatengeneza Taifa la watu wajinga na washamba.
After all, matumizi mabaya ya mali za walala hoi.
Rais Samia ungelizuia hili.
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.

Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Hivi ndege ikija bila sherehe sijui wanapungukiwa na nini?
 
ama huna uelewa na kitu, uliza au tafuta uelewa, usiropoke.

Kiuhalisia, hakuna wakati ambao nchi iliwahi kupata maendeleo ya haraka kama wakati wa Mwalimu Nyerere:

Tulikuwa na viwanda karibia vya bidhaa zote muhimu, kuanzia kuunganisha malori ya scania, matrekta ya valmet, kutengeneza baiskeli aina ya swala, matairi ya general tyre, vuwanda vya nguo Mutex, Mwatex, Sungura tex, Urafiki, kiwanda cha viatu Moro shoes, kiwanda cha batteries cha YUASA, na vingine vingi. Na vyote vilikuwa vInatengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu, siyo bidhaa takataka kama hizi za leo. Leo tumegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wa kuuza bidhaa hafifu za China.
Wacha fixi za kukariri vitu ulivyosoma kwenye madaftari ya shule. Ndege moja alitoroka nayo rubani kuja nayo Tz na tatu zilikuwepo hapa Tz kwa hivyo zikabakia hapa. Hizo 13 labda kama uliziota maana kila siku ilikuwa cancellation ya flights mpaka ATC ilibadilishwa jina ikaitwa Any Time Cancellation. Na bado kipindi kile hakikuwa na wapandaji ndege wengi kama sasa.

Haya hayo maendeleo ya viwanda yameishia wapi? Mbona ndiyo nchi iliingia kwenye dimbwi kubwa la njaa na dhiki iliyokithiri? Viwanda vile ilikuwa misaada kutoka socialist countries lakini hakukuwa na sustainability plan na ndiyo mana vilikufa. Hata kununua vitenge au kanga tu ilikuwa kwa foleni.
 
Sita ! 😅 lakini zilitutosha kwa population ilivyokuwa nyakati zile !
Labda nikueleze hivi: hazikutosha hata kidogo licha ya kuwa wapandaji wa ndege walikuwa wachache kipindi kile.

Mara kadhaa tulikuwa tunakwenda airport tunasubiri ndege halafu tunaambiwa 'cancelled' na ndiyo maana iliitwa Any Time Cancelled (ATC). Hata rushwa haikuanza jana na leo, ilikuwa ukitaka tiketi ya kwenda sehemu baadhi ya wakati lazima 'unyooshe mkono'.

Hayo yote niliyokueleza nimeyashuhudia mwenyewe katika kipindi hicho.
 
Wacha fixi za kukariri vitu ulivyosoma kwenye madaftari ya shule. Ndege moja alitoroka nayo rubani kuja nayo Tz na tatu zilikuwepo hapa Tz kwa hivyo zikabakia hapa. Hizo 13 labda kama uliziota maana kila siku ilikuwa cancellation ya flights mpaka ATC ilibadilishwa jina ikaitwa Any Time Cancellation. Na bado kipindi kile hakikuwa na wapandaji ndege wengi kama sasa.

Haya hayo maendeleo ya viwanda yameishia wapi? Mbona ndiyo nchi iliingia kwenye dimbwi kubwa la njaa na dhiki iliyokithiri? Viwanda vile ilikuwa misaada kutoka socialist countries lakini hakukuwa na sustainability plan na ndiyo mana vilikufa. Hata kununua vitenge au kanga tu ilikuwa kwa foleni.
Sibishani na watu wasiojua chochote.

Hata kama ulikosa kufuatilia matukio hayo ya kihistoria, ungekuwa unapenda kuutafuta ufahamu, ungekumbuka hata majibu ya Jakaya Kikwete mwaka 2018 alipoulizwa kuhusu ununuaji wa ndege. Alisema, 'siyo mara ya kwanza Tanzania kununua ndege. Wakati wa Mwalimu, tulinunua ndege mpya na nyingine tulikodi, tulikuwa na ndege 13, lakini bado ATC ilishindwa kujiendesha'. Kama unafahamu Kiingereza vizuri, soma hapa chini, utajiongezea uelewa, tofauti na habari potofu unazoishi nazo. Wikipedia wamekusaidia kuweka kumbukumbu sawa:



Air Tanzania Corporation (1977–2002)

The Air Tanzania Corporation (ATC) was established on 11 March 1977 after the break-up of East African Airways (EAA), which had previously served the region. The liquidation of EAA followed its accumulation of US$120 million of debt.[6] According to Andy Chande, the founding chairman of the board, Tanzania and Uganda did not receive a fair share of the former carrier's assets despite being equal partners.

The airline commenced operations with a Douglas DC-9-32 leased from Kenya Airways and purchased an additional two Boeing 737, financed by a U.S. bank.[7] It also leased aircraft from Air Madagascar. Four Fokker F27s and four DHC-6-300 Twin Otters were purchased in 1980. Because of less demand, two of the Fokker 27s were made obsolete in the year 1981. These aircraft returned to service in the year 1983, but were once again removed.[8]

Kwa hiyo ATC wakati wa Mwalimu ilinunua:

Boeing 737 - ndege 2
Fokker F27s - ndege 4
DHC-6-300 - ndege 4

Na ilikodi
Douglous DC-9-31 - ndege 1
Toka Air Madagascar - ndege 1
 
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.

Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Nani huyo?
 
Labda nikueleze hivi: hazikutosha hata kidogo licha ya kuwa wapandaji wa ndege walikuwa wachache kipindi kile.

Mara kadhaa tulikuwa tunakwenda airport tunasubiri ndege halafu tunaambiwa 'cancelled' na ndiyo maana iliitwa Any Time Cancelled (ATC). Hata rushwa haikuanza jana na leo, ilikuwa ukitaka tiketi ya kwenda sehemu baadhi ya wakati lazima 'unyooshe mkono'.

Hayo yote niliyokueleza nimeyashuhudia mwenyewe katika kipindi hicho.
Ni kweli lakini tulikuwa tunafurahia maisha kuliko ilivyo sasa !!
Ni ajabu na kweli !! 😅🙏🙏
 
Wewe hujui lolote. Kaa na ujinga wao usijitie aibu.

Wakati wa utawala wa Nyerere zilinunuliwa ndege mpya kabisa, brand new 13, zote jet engine, siyo pangaboi.

Wakati wa kuvunjika kwa EAC, Tanzania haikugawiwa ndege. Rubani mmoja aliamua kutoroka na ndege 1 na kuja kutua Tanzania. Makao makuu ya EA Airways yalikuwa Kenya. Ndege zote zilibakia huko.

Kama huna uelewa na kitu, uliza au tafuta uelewa, usiropoke.

Kiuhalisia, hakuna wakati ambao nchi iliwahi kupata maendeleo ya haraka kama wakati wa Mwalimu Nyerere:

Tulikuwa na viwanda karibia vya bidhaa zote muhimu, kuanzia kuunganisha malori ya scania, matrekta ya valmet, kutengeneza baiskeli aina ya swala, matairi ya general tyre, vuwanda vya nguo Mutex, Mwatex, Sungura tex, Urafiki, kiwanda cha viatu Moro shoes, kiwanda cha batteries cha YUASA, na vingine vingi. Na vyote vilikuwa vInatengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu, siyo bidhaa takataka kama hizi za leo. Leo tumegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wa kuuza bidhaa hafifu za China.
Inawakera kweli hawapendi kusikia mafanikio ya awamu ya kwanza wanaumia kwa husuda za kijinga.Elimu na matibabu bure sio kama sasa kuna geresha ya majengo tu huku gharama zikiwa juu,kuna siku pale wodi ya sewahaji muhimbili kuna mgonjwa alifanyiwa upasuaji nesi akaja na kumwambia unatakiwa uondoke na wenzako walale kwa sauti ya ukali hadi tukashangaa,nilikuja baini kumbe kitanda ni deal kwao wanapata mshiko.Wanazusha uongo eti Nyerere akiona kwenye tv kesho anasema ameota na kuna majinga yanaamini!
 
Back
Top Bottom