Majitu na akili zao eti yanapokea mapipa yanayopaa! Pumbavu kabisa.Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Ushamba na ulimbukeni tu waliorithishwa na yule dhalimKwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Mkuu lipia king'amuzi, mbona channels zipo nyingi za kuangaliaKwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama tbc mapokezi ya ndege "yao".Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.Are you serious?.Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha,shenz type.
Kila nikisoma post za Lucas Mwashamba huku jamvini huwa taswira ya :mtembea peku' inanijia live na yale mashairi yake ya kulazimisha.hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku.Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote.
Mnajadili kitu gani mkuu..wazalendo tumeipokea na tunakata tiketiWe chawa tulia wazalendo tujadili mustakabali wa nchi yeti.Ninyi hamna future yoyote zaidi ya kufikiri leo
Hii Nchi ni kama kijiji tu. Tunaishi kama manyani.Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Ni ndege ipi mpya alinunua Nyerere? Yeye aligaiwa mitumba ya iliyokuwa East African Airways.Hata Nyerere hakufanya ushamba huu enzi zile!