Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

Kosa kubwa na la kwanza ni kusoma for some years huku ukiwa na mindset ya kuajiriwa badala ya kujiajiri.

% kubwa sana ya wanafunzi wa Tanzania wanatarget kuja kuajiriwa...hi inatokana na nature ya elimu yetu.
 
Hivi mkuu una uhakika wamiliki wa KFC na Mcdonald's walikuwa na mitaji mikubwa wakati wanaanza biashara?

Ni kampuni chache sana maarufu leo duniani zilizoanzishwa na mitaji mikubwa.

Wenzetu wana Uthubutu na Ubunifu.


Sisi watanzania wengi wetu ni WAVIVU, hata wakenya wana nafuu kiasi.
Hakuna asiyependa kununua kitu kipya kutoka dukani tatizo pesa.

Hivyohivyo hakuna asiyependa kuwa na kitu kama KFC, McDonald's nk tatizo mtaji boss.
 
Imeipenda
 
Mkuu,

Suluhisho nimeweka, Tuwaze kufanya vitu kwa utofauti, yani kama ni biashara ya chips basi fanya kama KFC ambayo unafanya tena kwa utofauti, sio unafungua banda la chips kama la mluguru wa pale buguruni
Naomba tuanzie kwako wewe unafanya biashara gani ? na ni nini tofauti yake na wenzio ?
 
Ingekuwa msomi ukipiga biashara unakuwa bakhresa wengi hata kwenye siasa usingewaona, biashara issue nyingine hapa unagusa uwezo binafsi, familia na hata kizazi, matajiri wengi wamejiendeleza baada ya kufanikiwa. Kuna mwingine anamtaji mzuri tu lakini uwezo binafsi wa kufanya iyo biashara hamna anaishia kula mtaji
 
Naunga mkono hoja, watu wanachanganya biashara na usomi na mbaya zaidi hii elimu yetu haimuandai mtu kuwa mfanyabiashara
 
Kweli kabisa mkuu, hii imenigusa sana na cha ajabu zaidi unakuta media zinaandaa vipindi vya vijana wasomi walioamua kujiajili kupika keki na kutengeneza sabuni za maji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli hii
 
WAsomi professional zao kubwa ni wizi.
 
Mkuu mbona tupo ubaazi mmoja wa reli tu nilikuwa namjibu jamaa kuhusu vibandas
 
 

Attachments

*Why are the degree holders poor?*
Because they have decided to pride themselves in a degree and failed to think better than a man who does not have even a certificate to his name.

If you want to progress, throw away that degree and start thinking better than someone without a degree. Be prepared to get your hands dirty and work like an ox for your business.
A lot of opportunities exist in Tanzania but u have to be keen to identify them.If interested to do international projects contact me.
*Your innovation, commitment, hard work and patience will pay off.*

C&P
 
Kwamba ukifanya hizo biashara, elimu yako inasepa au!!.....cha muhimu dinero znagongana mfukoni......usome usisome bado dinero zitatafutwa tú kwa njia yoyote.ukisoma unapondwa usiposoma ndo majanga kabsaaa!!..jus hell out my face do yo own things pal😎😎
 
Huu uzi kiukweli ni mzuri sana nilicho JIFUNZA KUPITIA UZI HUU NI KUWA BADO NAHITAJI KUJIFUNZA ZAIDI.

Naona watu wengi wanazungumzia mtaji wa KIFEDHA NDIO CHANGAMOTO KUBWA mimi kwa uzoefu wangu mdogo wa kibiashara naoana changamoto sio MTAJI WA KIFEDHA changamoto kubwa iliopo ni KUKUBALI KUJARIBU KUFANYA BIASHARA FLANI kwanini nasema hivyo kwasababu kuna njia nyingi za kuweza kupata MITAJI YA KIFEDHA.

Wasomi wetu wengi sana hawajakosa mtaji wa KIFEDHA ila wamekosa MITAJI ifwatayo

  1. MTAJI WA KUKUBALI KUWA WANAHITAJI KUJIFUNZA ZAIDI KUTOKA KWA WATU TOFAUTI
  2. MTAJI WA KUKUBALI KUJARIBU KUFANYA BIASHARA FLANI
  3. MTAJI WA UBUNIFU WA MWENDELEZO WA BIASHARA FLANI
  4. MTAJI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA KIBIASHARA
  5. MTAJI WA PLAN B
  6. MTAJI WA KUKUBALI KUKOSOLEWA
Hizo ndio changamoto kubwa zinazo wafanya WASOMI wetu kukosa kufanya vitu tofauti na watu ambao wamewazidi KIELIMU.


NB:KAMA KUNA MSOMI YOYOTE YUPO HUMU NA ANASEMA CHANGAMOTO KUBWA NI MTAJI WA KIFEDHA BASI ANITAFUTE NIMUONYESHE PESA ZA MITAJI ZILIPO .
 
Duuuuuuuh mada zingine za kichokozi chokozi bila shaka huyu jamaa anabifu na wasomi yawezekana kuna msomi kampiga nockout kwenye biashara aliyokuwa anaifanya sasa jamaa baada kushindwa anaanza kuwalaumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…