Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
wamezoea komba na kupokea rushwa ya mkupua wa kama milioni hivi, leo unamwambia akafanye biashara ya kudunduliza Bukubuku. Hawezi.Huu uzi kiukweli ni mzuri sana nilicho JIFUNZA KUPITIA UZI HUU NI KUWA BADO NAHITAJI KUJIFUNZA ZAIDI.
Naona watu wengi wanazungumzia mtaji wa KIFEDHA NDIO CHANGAMOTO KUBWA mimi kwa uzoefu wangu mdogo wa kibiashara naoana changamoto sio MTAJI WA KIFEDHA changamoto kubwa iliopo ni KUKUBALI KUJARIBU KUFANYA BIASHARA FLANI kwanini nasema hivyo kwasababu kuna njia nyingi za kuweza kupata MITAJI YA KIFEDHA.
Wasomi wetu wengi sana hawajakosa mtaji wa KIFEDHA ila wamekosa MITAJI ifwatayo
Hizo ndio changamoto kubwa zinazo wafanya WASOMI wetu kukosa kufanya vitu tofauti na watu ambao wamewazidi KIELIMU.
- MTAJI WA KUKUBALI KUWA WANAHITAJI KUJIFUNZA ZAIDI KUTOKA KWA WATU TOFAUTI
- MTAJI WA KUKUBALI KUJARIBU KUFANYA BIASHARA FLANI
- MTAJI WA UBUNIFU WA MWENDELEZO WA BIASHARA FLANI
- MTAJI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA KIBIASHARA
- MTAJI WA PLAN B
- MTAJI WA KUKUBALI KUKOSOLEWA
NB:KAMA KUNA MSOMI YOYOTE YUPO HUMU NA ANASEMA CHANGAMOTO KUBWA NI MTAJI WA KIFEDHA BASI ANITAFUTE NIMUONYESHE PESA ZA MITAJI ZILIPO .
Kwa sababu, akili yake inamwambia ''unachelewa wewe, achana na hiyo takataka''