Ni aibu na fedheha kubwa kwa Yanga kuanzia Preliminary round, makelele meeengi kumbe bado wachanga

Ni aibu na fedheha kubwa kwa Yanga kuanzia Preliminary round, makelele meeengi kumbe bado wachanga

Yanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.

Kudadadeki
Kwenye Champions League ni timu tano tu za juu zinazopata exemption kati ya timu 59, wakati Confederation Cup ni timu 12 za juu zinazopata hiyo exemption kati ya timu 52 tu. Confederation ni mashindano dhaifu kulinganisha na Champions
 
Simba kwa michuano yoyote ya vilabu ingeanzia raundi ya pili. Nafasi ya tano Afrika sio ya kitoto
Umeona wapi Simba ikiwa nafasi ya tano? Simba ipo nafasi ya saba.
Na lingine ni kwamba kuanzia raundi ya pili huwa inatokana na idadi ya timu zinazoshiriki michuano ya CAF. Kuna kipindi Simba ilikuwa inashika nafasi ya 10 na ilianzia raundi ya pili.
Mashindano ya CAF zinatakiwa kuwe na jumla ya timu 64 endapo ikitokea hazifiki timu 64 ndipo idadi ya iliyopelea ndio huingia raundi ya pili. Msimu huu kuna timu 59 zinazoshiriki klabu bingwa hivyo kuna gap ya timu 5 kufikisha timu 64 na ndio maana timu 5 zitaanzia hatua ya pili na hizo timu 5 zinachukuliwa zile timu 5 za juu.

Ukija kwenye kombe la shirikisho, kuna jumla ya timu 52 zinazoshiriki michuano ya shirikisho hivyo kuna pungufu ya timu 12 kutimiza timu 64 na ndio maana kuna timu 12 zitaanzia hatua ya pili kombe la shirikisho.
 
Umeona wapi Simba ikiwa nafasi ya tano? Simba ipo nafasi ya saba.
Na lingine ni kwamba kuanzia raundi ya pili huwa inatokana na idadi ya timu zinazoshiriki michuano ya CAF. Kuna kipindi Simba ilikuwa inashika nafasi ya 10 na ilianzia raundi ya pili.
Mashindano ya CAF zinatakiwa kuwe na jumla ya timu 64 endapo ikitokea hazifiki timu 64 ndipo idadi ya iliyopelea ndio huingia raundi ya pili. Msimu huu kuna timu 59 zinazoshiriki klabu bingwa hivyo kuna gap ya timu 5 kufikisha timu 64 na ndio maana timu 5 zitaanzia hatua ya pili na hizo timu 5 zinachukuliwa zile timu 5 za juu.

Ukija kwenye kombe la shirikisho, kuna jumla ya timu 52 zinazoshiriki michuano ya shirikisho hivyo kuna pungufu ya timu 12 kutimiza timu 64 na ndio maana kuna timu 12 zitaanzia hatua ya pili kombe la shirikisho.
Acha ubishi Yanga anapoint chache na hayuko nafasi ya 5 kwenye rank ya CAF.Nyie huwa mnadanganywa na vile vimitandao vya hovyo hovyo mkajiona wakubwa Afrika.
 
Acha ubishi Yanga anapoint chache na hayuko nafasi ya 5 kwenye rank ya CAF.Nyie huwa mnadanganywa na vile vimitandao vya hovyo hovyo mkajiona wakubwa Afrika.
Wapi ambapo nimeandika kuwa Yanga ni wa tano? Kuna sehemu nimeongelea kuhusu point za Yanga? Au unakurupuka tu ku comment bila kuelewa?
 
Na lingine ni kwamba kuanzia raundi ya pili huwa inatokana na idadi ya timu zinazoshiriki michuano ya CAF. Kuna kipindi Simba ilikuwa inashika nafasi ya 10 na ilianzia raundi ya pili.
Hizo hesabu zilishapigwa, na Simba kwa msimu huu 2024/25 inaanzia raundi ya pili
Exempted:
• RS Berkane
• ASEC Mimosas
• Stade Malien
• Enyimba FC
• Zamalek SC
• USMA
• Simba SC
• Al Masry
• CA Sfaxien
• AS Vita Club
• Sekhukhune United
• FC Lupopo

Ranked clubs:
• ASC Jaraaf
• AS Otoho
• ZESCO United

Pot 1 clubs: (non-ranked):
• Dadje FC
• Rahimo FC
• Fovu De Baham
• TP Elect Sport
• RC Abidjan
• Nsoatreman FC
• Hafia / Milo FC
• Paynesville FC
• UTS
• AS FAN
• El Kanemi FC
• East End Lions
• ASCK

Pot 2 clubs (non ranked):
• CS Constantine
• Rukinzo
• Ethiopian Coffee
• Kenya Police
• Libya (1)
• Libya (2)
• Police
• Horseed FC
• Jamus FC, Juba
• Stade Tunisien
• Kitara FC
• Uhamiaji FC

Pot 3 clubs (non ranked):
• FC Bravos
• CD Linda Sul
• Orapa United
• Alize Fort
• FC 15 De Agosto
• N. Hotspurs FC
• Elgeco Plus
• A. Black Bulls
• Foresters FC
• Stellenbosch FC
• Coastal Union
• Dynamos FC​
 
Back
Top Bottom