Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Wanajua vizuri tu basi kiburiKumbe mnajua! 😬😬😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua vizuri tu basi kiburiKumbe mnajua! 😬😬😬
Simba ipo nafasi ya ngapi?Tp Mazembe ipo nafasi ya 08 nyuma ya simba nafasi ya 07 na amenufaika kuanzia hatua hiyo ya pili kutokana na kutokuwepo kwa Wydad Casablanca(03) Zamalek (05) na Simba (07)
Kombe la Shirikisho ....(CAFCC)Hiyo 2nd round Simba wanasubiria kwenye michuano gani mkuu? Nasubiri jibu hapa.
Kombe la losserKombe la Shirikisho ....(CAFCC)
Simba ni KUBWA bwana angalia tofauti. Yanga inaalikwa na Timu Simba inaalikwa na Shirikisho🤷Simba kwa michuano yoyote ya vilabu ingeanzia raundi ya pili. Nafasi ya tano Afrika sio ya kitoto
Wasikudanganye. Simba ya 6. Mboga mboga 12.Sasa hata kama Simba ni wa 7 huoni bado hawezi kuanzia hatua ya kwanza kama Yanga maaba kuna Tp Mazembe hapo ambaye ni nafasi ya 8 nyuma ya Simba na bado haanzii hiyo hatua ya awali
ya cafHiyo 2nd round Simba wanasubiria kwenye michuano gani mkuu? Nasubiri jibu hapa.
Kwa mujibu wa kichaa wenu mnaemfuga hapo utopoloni manara...aliwadhalilisha sana...inamaana hata zile medali mlizopata ni za ki luza 😀😀😀😀Wanasema eti ni kombe la loser ni kweli?
Haisaidii! Kawafunge kwanza wale wengine na uingine Quarter final mara kadhaa ndo hapo mtaeleweka, kumfunga Simba au Yanga hakusaidii kitu!Sisi tulitaka tuanze pre-preliminary round, tuanze na Simba, tumtie 7-0 alafu ndiyo tuendelee
Sisi furaha yetu kuona mnyama anateseka, tumewasilisha barua CAF itushushe shirikisho ili tukutaneHaisaidii! Kawafunge kwanza wale wengine na uingine Quarter final mara kadhaa ndo hapo mtaeleweka, kumfunga Simba au Yanga hakusaidii kitu!
mazembe yupo chini ya simbaSimba sio wa tano ni wa saba hivyo kwenye klabu bingwa asingweza kuwa na nafasi ya kuanzia raundi ya pili mpaka itokee wa juu yake washindwe ku qualify kucheza mashindano ya klabu bingwa ( top 5) ambao ni Al Ahly, Es Tunis, Wydad, Mamelod na Tp Mazembe hizo ndizo top 5.
Haisaidii vilevile, kila timu ina njia yake hata siku moja hakufanani, timu zote zina falsafa tofauti, we tafuta furaha yako basiSisi furaha yetu kuona mnyama anateseka, tumewasilisha barua CAF itushushe shirikisho ili tukutane