BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Watakua wale wasudani wanaokuja na costa bila shaka.mnawafunga 9 bas rahaaaWewe timu gani kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua wale wasudani wanaokuja na costa bila shaka.mnawafunga 9 bas rahaaaWewe timu gani kwanza?
Mazembe kachukua nafasi kwavile kuna timu zimeshindwa kufuzu klabu bingwa ambazo zipo top 5 ambao ni Wydad na Zamalek na nafasi zao zikachukuliwa na Tp Mazembe na Petro de Luandamazembe yupo chini ya simba
Ni sifa na jambo zuri sana Simba kucheza kombe la shirikishoYanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.
Kudadadeki
Yanga kelele tu, kimataifa bado sana. Si asili yao kuwika nje ya mipakaYanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.
Kudadadeki
Mazoezi wanafanya ya nini sasa?Simba ingeanzia round ya awali ingekuwa faida kwa timu ili timu ianze kujenga maelewano mazuri
Mazoezi ni tofauti na mechi za kiushindaniMazoezi wanafanya ya nini sasa?
Usikute wewe ni mchambuzi wa mpira hapa Tanzania. Hivi unaelewa unachokiandika kweli, Unataka kunidanganya Simba au Yanga wanapoenda kucheza mechi zao za kimataifa hawafanyi mazoezi, nikuulize tu swali la uzushi: Wewe unaujuwa mpira kweli au ulishawahi kucheza hata cha ndimu tu barazani?Mazoezi ni tofauti na mechi za kiushindani
Unalitendea haki jina lakoUsikute wewe ni mchambuzi wa mpira hapa Tanzania. Hivi unaelewa unachokiandika kweli, Unataka kunidanganya Simba au Yanga wanapoenda kucheza mechi zao za kimataifa hawafanyi mazoezi, nikuulize tu swali la uzushi: Wewe unaujuwa mpira kweli au ulishawahi kucheza hata cha ndimu tu barazani?
Wakubwa hawachezi shirikishoAcha ubishi Yanga anapoint chache na hayuko nafasi ya 5 kwenye rank ya CAF.Nyie huwa mnadanganywa na vile vimitandao vya hovyo hovyo mkajiona wakubwa Afrika.
sisi ni wakubwa nyie pimbi.Wakubwa hawachezi shirikisho
Point zinatafutwa mdogo mdogo maana kila timu inataka kuwa pale juu. Simba kuwa ya 6 haikupata mara moja. Washabiki wake wanaelewa ndio maana hata ikiishia robo ni furaha Tu. Africa inajua Simba ni giant kama Wana UTO hawalitambui hili sio shida zetu.Champion ligi Yanga kafika robo uliyokuwa unajifichia.
Sasa na wewe ufike final huko uliko mtani.
We si mkubwa.
Pambana Sasa uwanjani na sio social media
Hao Yanga wamekufikisha kilele cha kibo na mawenzi kama ambavyo chapati hugeuzwa geuzwa ili iive. Kuwa na heshima mdogo wetuwakati wanaume zao Simba watasubiri second round.