Ni aibu na fedheha kubwa kwa Yanga kuanzia Preliminary round, makelele meeengi kumbe bado wachanga

Ni aibu na fedheha kubwa kwa Yanga kuanzia Preliminary round, makelele meeengi kumbe bado wachanga

Hizo hesabu zilishapigwa, na Simba kwa msimu huu 2024/25 inaanzia raundi ya pili
Exempted:
• RS Berkane
• ASEC Mimosas
• Stade Malien
• Enyimba FC
• Zamalek SC
• USMA
• Simba SC
• Al Masry
• CA Sfaxien
• AS Vita Club
• Sekhukhune United
• FC Lupopo

Ranked clubs:
• ASC Jaraaf
• AS Otoho
• ZESCO United

Pot 1 clubs: (non-ranked):
• Dadje FC
• Rahimo FC
• Fovu De Baham
• TP Elect Sport
• RC Abidjan
• Nsoatreman FC
• Hafia / Milo FC
• Paynesville FC
• UTS
• AS FAN
• El Kanemi FC
• East End Lions
• ASCK

Pot 2 clubs (non ranked):
• CS Constantine
• Rukinzo
• Ethiopian Coffee
• Kenya Police
• Libya (1)
• Libya (2)
• Police
• Horseed FC
• Jamus FC, Juba
• Stade Tunisien
• Kitara FC
• Uhamiaji FC

Pot 3 clubs (non ranked):
• FC Bravos
• CD Linda Sul
• Orapa United
• Alize Fort
• FC 15 De Agosto
• N. Hotspurs FC
• Elgeco Plus
• A. Black Bulls
• Foresters FC
• Stellenbosch FC
• Coastal Union
• Dynamos FC​
Huko hakuna maajabu, timu 12 hata Yanga angekuwepo huko angeanzia raundi ya pili. Kwenye klabu bingwa, timu zote zingeshiriki basi hata Simba asingepata nafasi ya kuanzia raundi ya pili kwenye klabu bibgwa kwasababu ya nafasi aliyopo ni ya saba na sio ya tano.
 
Huko hakuna maajabu, timu 12 hata Yanga angekuwepo huko angeanzia raundi ya pili. Kwenye klabu bingwa, timu zote zingeshiriki basi hata Simba asingepata nafasi ya kuanzia raundi ya pili kwenye klabu bibgwa kwasababu ya nafasi aliyopo ni ya saba na sio ya tano.
Acha kubisha kitu usichokijua mkuu kwenye rank za Afrika Simba angeanzia round ya pili michuano yoyote ile

Simba ipo nafasi ya tano kwa ubora wa vilabu barani Africa ikiwa na points 39 za Caf

Katika hizo timu 05 hapo ambazo hazitaanzia round ya kwanza Simba Sc anazidiwa points na timu 3 tu ambazo ni Al Ahly, Esperance De tunis na Mamelod Sundowns
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Acha kubisha kitu usichokijua mkuu kwenye rank za Afrika Simba angeanzia round ya pili michuano yoyote ile

Simba ipo nafasi ya tano kwa ubora wa vilabu barani Africa ikiwa na points 39 za Caf

Katika hizo timu 05 hapo ambazo hazitaanzia round ya kwanza Simba Sc anazidiwa points na timu 3 tu ambazo ni Al Ahly, Esperance De tunis na Mamelod Sundowns
Simba wa saba we kolo
 
Kama vipi Hao vyura wabatizwe kwa moto watupunguzie kelele.
 
Simba wa saba we kolo
Sasa hata kama Simba ni wa 7 huoni bado hawezi kuanzia hatua ya kwanza kama Yanga maaba kuna Tp Mazembe hapo ambaye ni nafasi ya 8 nyuma ya Simba na bado haanzii hiyo hatua ya awali
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wapi ambapo nimeandika kuwa Yanga ni wa tano? Kuna sehemu nimeongelea kuhusu point za Yanga? Au unakurupuka tu ku comment bila kuelewa?
Sasa Yanga kwanini anaanzia hatua ya Awali?ni mdogo acha hizo bra bra sijui timu 53 wala timu ngapi.Simba anaanza makundi chap hata akicheza CAF champs
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kwenye Champions League ni timu tano tu za juu zinazopata exemption kati ya timu 59, wakati Confederation Cup ni timu 12 za juu zinazopata hiyo exemption kati ya timu 52 tu. Confederation ni mashindano dhaifu kulinganisha na Champions
Uko sahihi.
 
Acha kubisha kitu usichokijua mkuu kwenye rank za Afrika Simba angeanzia round ya pili michuano yoyote ile

Simba ipo nafasi ya tano kwa ubora wa vilabu barani Africa ikiwa na points 39 za Caf

Katika hizo timu 05 hapo ambazo hazitaanzia round ya kwanza Simba Sc anazidiwa points na timu 3 tu ambazo ni Al Ahly, Esperance De tunis na Mamelod Sundowns
Simba sio wa tano ni wa saba hivyo kwenye klabu bingwa asingweza kuwa na nafasi ya kuanzia raundi ya pili mpaka itokee wa juu yake washindwe ku qualify kucheza mashindano ya klabu bingwa ( top 5) ambao ni Al Ahly, Es Tunis, Wydad, Mamelod na Tp Mazembe hizo ndizo top 5.
 
Sasa Yanga kwanini anaanzia hatua ya Awali?ni mdogo acha hizo bra bra sijui timu 53 wala timu ngapi.Simba anaanza makundi chap hata akicheza CAF champs
Shida ya kujulia mpira kipindi Azam wanaanza kurusha matangazo ya mpira, eti Simba ingeanza makundi chap. Kuna timu ipi umeona inaanzia hatua ya makundi? Wewe ni wazi hujui kitu unakurupuka tu ku comment. Hakuna sheria wala kanuni inayoruhusu timu kuanzia makundi katika mashindano ya CAF ngazi ya vilabu.
 
Michuano ya CAF mkuu.

Ova
Aaaah, tafadhali b… weka mambo sawasawa kwamba ni michuano ya Shirikisho Afrika (CAFCC), michuano ya CAF iko mingi.

Hakuna kujificha kwenye kichaka cha CAF. Lols
 
Simba sio wa tano ni wa saba hivyo kwenye klabu bingwa asingweza kuwa na nafasi ya kuanzia raundi ya pili mpaka itokee wa juu yake washindwe ku qualify kucheza mashindano ya klabu bingwa ( top 5) ambao ni Al Ahly, Es Tunis, Wydad, Mamelod na Tp Mazembe hizo ndizo top 5.
Tp Mazembe ipo nafasi ya 08 nyuma ya simba nafasi ya 07 na amenufaika kuanzia hatua hiyo ya pili kutokana na kutokuwepo kwa Wydad Casablanca(03) Zamalek (05) na Simba (07)
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom