Pre GE2025 Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Tundu Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura

Pre GE2025 Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Tundu Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hicho kizazi cha kukipa data za kupika kiko wapi? Uchaguzi wa 2015 walijioandikisha kupiga kura walikuwa 20m+, hapa ndio mfumo wa BVR ulianza rasmi, kila mtu aliona misuru ya watu kwenye vituo vya kupigia kura. Idadi hii ya kupika inasema wako 31m, lakini waliokuwa mawakala wa kuandikisha wapiga kura walikuwa wanasoma magazeti na kuchat vituoni! Na sababu hasa ya wananchi kupuuza huo uchaguzi, ni kitendo cha ccm kuchezea kura zao ilo wakae madarakani kwa shuruti.

Huu ndio ukweli uliopo na kila mtu anaujua, sasa subiri siku ya uchaguzi uone ni kwa kiwango gani wapiga kura watakuwa wachache. Wewe baki ukipiga propaganda za kizee hapa, lakini ukweli kuwa watu wameichoka ccm uko wazi peupe. Mtapika idadi ya wapiga kura sana, lakini ndio imeisha hiyo.
Mtaweweseka sana mwaka huu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.ni aibu isiyo bebeka,ni aibu na fedheha ya kiwango cha juu sana.

Hivi inawezekana vipi kiongozi wa ngazi ya juu kama Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akimbie kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura?

Chama kitapata ushindi kutoka kwa kura ya nani? Kama yeye hataki kujiandikisha na kupiga kura, anataka nani ajiandikishe na kupigia kura wagombea wa chama chake?

CHADEMA inaweza kupata vipi ushindi ikiwa viongozi wake wenyewe hawataki kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura? Kama yeye hayupo tayari kutenga muda wake anataka nani atenge muda wake kujiandikisha na kupiga kura?

Anatoa mfano na taswira ipi kwa wanachama na wafuasi wake? Anaweza akapata wapi nguvu ya kutamka kuwa CHADEMA itashinda uchaguzi? Itashinda kwa kura ya nani wakati yeye mwenyewe hajapiga kura? Nani anakipa ushindi chama? CHADEMA kinaweza kusema vipi kinaibiwa kura? Kitasema kinaibiwa kura zipi? Kutoka kwa nani aliyekipigia kura wakati viongozi wake hawajapiga kura?

Nani mwenye akili Timamu na mwenye afya ya akili anayeweza kupoteza muda wake kuipigia kura CHADEMA .wakati yenyewe tu chini ya viongozi wake hawapo tayari kupiga kura na hawaoni umuhimu wa kupiga kura na hawaelewi nguvu ya kura yao? Watamshawishi nani kwenda kuwapigia kura wakati wao wamebaki majumbani kwao wakinywa mvinyo?

Nilishasema kuwa lissu yeye kiu yake na matamanio yake ni kutaka kuleta machafuko tu hapa Nchini.kama ambavyo amekuwa akitoa kauli zake za kichochezi kwa watanzania .ambao hata hivyo wamekuwa wakimpuuza wakati wote. Yeye anataka njia ya mkato kupata madaraka.hana uchungu na Taifa letu,hana cha kupoteza hata Taifa letu likisambaratika na kupasuka vipande vipande.

Maana watoto wake alishawachukulia Uraia wa nchi zingine za Magharibi.Familia yake yote haipo Nchini.Sasa mtu wa aina hiyo Unafikiri utakujali na kuwa na huruma na wewe mtanzania uliyepo hapa Nchini? Unafikiri atakuwa na uchungu gani Taifa likiwaka moto zaidi ya kufurahi na kufuatilia kupitia Tv akiwa sebuleni na familia yake huko Marekani au Ulaya?

Angalia hata sasa hivi akitoa lugha zake za uchochezi,ubaguzi na chuki unaona akisafiri kimya kimya na kwenda ulaya. Hiyo maana yake ni kuwa hata siku Taifa likiwaka na kuteketea kwa Moto au Watanzania wakianza kuchinjana,yeye ataondoka kimya kimya kwa ndege na kwenda kuchekea ulaya huko na wanae huku wakigongeana glasi za vinywaji vikali na laini wakishindikiza na Minofu ya nyama na kupulizwa na Feni kupunguza Joto.

Watanzania kamwe na katu tusije ingia katika mtego wa lissu wakutaka kutugawa Watanzania na kupandikiza chuki miongoni mwetu.tusikubali apandikize mbegu za ubaguzi miongoni mwetu watanzania.lissu ni mroho na mwenye uchu wa madaraka hata kwa njia ya Damu au kwenda ikulu huku akipita katika au juu ya miili ya watanzania iliyokata pumzi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Conclusion yako ni sawa lakini analysis siyo sawa. Aibu na a fedheha ni matukio ysnayowaenda watu fulani. Mwizi akiiba ni jambo la kawaida, anaoewa tu adhabu anayostahili. Kichaa akijinyea hadharani nalo si jambo la mno, huwezi kulalamika. Tundu Lissu hanaxstaha yoyote, haba soni, vitendo vyake havitustui kwa vile vilitegenewa. Matusi, kuropoka, urongo, uzandiki, kwake ni sifa. Ila naona kaanza kupata mfissinhomeboy huo ndiyo timshangae. Huyu Padri Charles Kitima umejaribu kumfuatilia? Huyu ndiyo fedheha, huyu ndiyo aibu, kwa sababu anayafanya nyuma ya pazia ya kitu chenye ihshima.
 
Shida ni upeo mdogo ulionao,umeandika gazeti hata hueleweki sijui kama huwa una ubongo wa binadamu
Mbona kaandika Kiswahili fasaha kabisa ,.
Kama hujaelewa alichoandika bhc we ndio taira kabisaaa
 
Hata kama tunaichukia ccm lakin Tanzania bado hatujaichoka
Siasa za chadema ni za kizamani na za kipuuzi
Nilikua chadema kipindi cha magu ila kipindi hiki naona wamepotea hawana muelekeo hawana sera
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.ni aibu isiyo bebeka,ni aibu na fedheha ya kiwango cha juu sana.

Hivi inawezekana vipi kiongozi wa ngazi ya juu kama Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akimbie kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura?

Chama kitapata ushindi kutoka kwa kura ya nani? Kama yeye hataki kujiandikisha na kupiga kura, anataka nani ajiandikishe na kupigia kura wagombea wa chama chake?

CHADEMA inaweza kupata vipi ushindi ikiwa viongozi wake wenyewe hawataki kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura? Kama yeye hayupo tayari kutenga muda wake anataka nani atenge muda wake kujiandikisha na kupiga kura?

Anatoa mfano na taswira ipi kwa wanachama na wafuasi wake? Anaweza akapata wapi nguvu ya kutamka kuwa CHADEMA itashinda uchaguzi? Itashinda kwa kura ya nani wakati yeye mwenyewe hajapiga kura? Nani anakipa ushindi chama? CHADEMA kinaweza kusema vipi kinaibiwa kura? Kitasema kinaibiwa kura zipi? Kutoka kwa nani aliyekipigia kura wakati viongozi wake hawajapiga kura?

Nani mwenye akili Timamu na mwenye afya ya akili anayeweza kupoteza muda wake kuipigia kura CHADEMA .wakati yenyewe tu chini ya viongozi wake hawapo tayari kupiga kura na hawaoni umuhimu wa kupiga kura na hawaelewi nguvu ya kura yao? Watamshawishi nani kwenda kuwapigia kura wakati wao wamebaki majumbani kwao wakinywa mvinyo?

Nilishasema kuwa lissu yeye kiu yake na matamanio yake ni kutaka kuleta machafuko tu hapa Nchini.kama ambavyo amekuwa akitoa kauli zake za kichochezi kwa watanzania .ambao hata hivyo wamekuwa wakimpuuza wakati wote. Yeye anataka njia ya mkato kupata madaraka.hana uchungu na Taifa letu,hana cha kupoteza hata Taifa letu likisambaratika na kupasuka vipande vipande.

Maana watoto wake alishawachukulia Uraia wa nchi zingine za Magharibi.Familia yake yote haipo Nchini.Sasa mtu wa aina hiyo Unafikiri utakujali na kuwa na huruma na wewe mtanzania uliyepo hapa Nchini? Unafikiri atakuwa na uchungu gani Taifa likiwaka moto zaidi ya kufurahi na kufuatilia kupitia Tv akiwa sebuleni na familia yake huko Marekani au Ulaya?

Angalia hata sasa hivi akitoa lugha zake za uchochezi,ubaguzi na chuki unaona akisafiri kimya kimya na kwenda ulaya. Hiyo maana yake ni kuwa hata siku Taifa likiwaka na kuteketea kwa Moto au Watanzania wakianza kuchinjana,yeye ataondoka kimya kimya kwa ndege na kwenda kuchekea ulaya huko na wanae huku wakigongeana glasi za vinywaji vikali na laini wakishindikiza na Minofu ya nyama na kupulizwa na Feni kupunguza Joto.

Watanzania kamwe na katu tusije ingia katika mtego wa lissu wakutaka kutugawa Watanzania na kupandikiza chuki miongoni mwetu.tusikubali apandikize mbegu za ubaguzi miongoni mwetu watanzania.lissu ni mroho na mwenye uchu wa madaraka hata kwa njia ya Damu au kwenda ikulu huku akipita katika au juu ya miili ya watanzania iliyokata pumzi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aibu kivipi? Unajua kweli maana ya aibu? Wewe mwenyewe tupe ushahidi kama umejiandikisha au unabwabwaja tu.
 
Kwa data za kupika? Ccm ilifanikiwa kukubalika enzi watu wamelala, kwa sasa mtaiba kura, mtateka na kuua sana, lakini hiki sio kizazi cha hicho chama.
Kwa sasa CCM inakubalika sana kuliko wakati mwingine wowote ule katika Historia ya Taifa letu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.ni aibu isiyo bebeka,ni aibu na fedheha ya kiwango cha juu sana.

Hivi inawezekana vipi kiongozi wa ngazi ya juu kama Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akimbie kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura?

Chama kitapata ushindi kutoka kwa kura ya nani? Kama yeye hataki kujiandikisha na kupiga kura, anataka nani ajiandikishe na kupigia kura wagombea wa chama chake?

CHADEMA inaweza kupata vipi ushindi ikiwa viongozi wake wenyewe hawataki kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura? Kama yeye hayupo tayari kutenga muda wake anataka nani atenge muda wake kujiandikisha na kupiga kura?

Anatoa mfano na taswira ipi kwa wanachama na wafuasi wake? Anaweza akapata wapi nguvu ya kutamka kuwa CHADEMA itashinda uchaguzi? Itashinda kwa kura ya nani wakati yeye mwenyewe hajapiga kura? Nani anakipa ushindi chama? CHADEMA kinaweza kusema vipi kinaibiwa kura? Kitasema kinaibiwa kura zipi? Kutoka kwa nani aliyekipigia kura wakati viongozi wake hawajapiga kura?

Nani mwenye akili Timamu na mwenye afya ya akili anayeweza kupoteza muda wake kuipigia kura CHADEMA .wakati yenyewe tu chini ya viongozi wake hawapo tayari kupiga kura na hawaoni umuhimu wa kupiga kura na hawaelewi nguvu ya kura yao? Watamshawishi nani kwenda kuwapigia kura wakati wao wamebaki majumbani kwao wakinywa mvinyo?

Nilishasema kuwa lissu yeye kiu yake na matamanio yake ni kutaka kuleta machafuko tu hapa Nchini.kama ambavyo amekuwa akitoa kauli zake za kichochezi kwa watanzania .ambao hata hivyo wamekuwa wakimpuuza wakati wote. Yeye anataka njia ya mkato kupata madaraka.hana uchungu na Taifa letu,hana cha kupoteza hata Taifa letu likisambaratika na kupasuka vipande vipande.

Maana watoto wake alishawachukulia Uraia wa nchi zingine za Magharibi.Familia yake yote haipo Nchini.Sasa mtu wa aina hiyo Unafikiri utakujali na kuwa na huruma na wewe mtanzania uliyepo hapa Nchini? Unafikiri atakuwa na uchungu gani Taifa likiwaka moto zaidi ya kufurahi na kufuatilia kupitia Tv akiwa sebuleni na familia yake huko Marekani au Ulaya?

Angalia hata sasa hivi akitoa lugha zake za uchochezi,ubaguzi na chuki unaona akisafiri kimya kimya na kwenda ulaya. Hiyo maana yake ni kuwa hata siku Taifa likiwaka na kuteketea kwa Moto au Watanzania wakianza kuchinjana,yeye ataondoka kimya kimya kwa ndege na kwenda kuchekea ulaya huko na wanae huku wakigongeana glasi za vinywaji vikali na laini wakishindikiza na Minofu ya nyama na kupulizwa na Feni kupunguza Joto.

Watanzania kamwe na katu tusije ingia katika mtego wa lissu wakutaka kutugawa Watanzania na kupandikiza chuki miongoni mwetu.tusikubali apandikize mbegu za ubaguzi miongoni mwetu watanzania.lissu ni mroho na mwenye uchu wa madaraka hata kwa njia ya Damu au kwenda ikulu huku akipita katika au juu ya miili ya watanzania iliyokata pumzi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi hakuna jema hata moja linalofanywa na Chadema. Maisha yako yote humu jukwaani ni kuwacondem tu.
 
Wewe na ukoo wako wote wa Mwashambwa mkiunganisha uwezo wa akili zenu haufiki hata 5% ya uwezo wa akili za Lissu, kilaza na kidampa kama wewe unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa ndiyo ujilinganishe na Lissu?
Lissu ana akili? Kweli unaendelea kudhihirisha kuwa wewe huna akili kabisa
 
Back
Top Bottom