Ni aibu..Nimetazama kwa makini hapa sijaona jezi ya Yanga

Utopolo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸΈπŸΈπŸΈπŸΈπŸΈπŸΈ
 
Naomba tu mniruhusu kuurejesha ule mchakato wa kumjengea mwenyekiti wetu mstaafu; mnara wa kumbukumbu. Maana siyo kwa akili hizi.
 
Badala ya kuangalia ushindi uwanjani unaangalia matukio yasiyo na maana Kumbe safari bado ni ndefu .
 

Mwachibuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Umepiga wapi? Bado anapumua huyoo
 
Dah kweli ninyi ni mbumbumbu
Mkiongozwa na mwasibu wenu
 
Hujaona Jersey Za Rangi Ya Kijani Ama.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…