Ni aibu sana kijana wa kiume kujisifia kuwa unatongozana na mke wa mtu. Hizi tabia mlijifunzia wapi?

Ni aibu sana kijana wa kiume kujisifia kuwa unatongozana na mke wa mtu. Hizi tabia mlijifunzia wapi?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
"Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu."

Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu?

Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.

Ni uchungu ambao hauwezi kuu ona katika nyuso yake ila ni uchungu ambao hata ukimwimbia milioni 10 atakupa nafasi ya kumrudishia taratibu ila ukimla mke wake nae anakufanya mke wake au kukutupa ruvu.

Vijana wamekuwa wadhaifu sana, mtu kabisa anashare chats za kutongozana na mke wa mtu na watu wanamsifia kweli eti "kula huyoo, kula huyoo"
 
Tatizo moyo
1740459991898.jpg
 
Samaleko mkuu

Vijana tumekuwa taka taka sana.

Ndio maana hata jua kali na haliishi tu
Ni upuziii tu!

Bora umeliongelea hili!

Kwa kweli, tunaishusha sana thamani ndoa na kufanya wake za watu kuonekana ni kitu cha hovyo sana!

Najiuliza Ile hofu ya Mungu ndo hatuna kabisa? Siku hizi ujanja wa Kijana kumla mke wa mtu na kujisifia au kusifiwa?

Hakuna mtu aliye mkamilifu ila hata stara za kiume hatuna siku hizi?
 
"Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu."

Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu?

Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.

Ni uchungu ambao hauwezi kuu ona katika nyuso yake ila ni uchungu ambao hata ukimwimbia milioni 10 atakupa nafasi ya kumrudishia taratibu ila ukimla mke wake nae anakufanya mke wake au kukutupa ruvu.

Vijana wamekuwa wadhaifu sana, mtu kabisa anashare chats za kutongozana na mke wa mtu na watu wanamsifia kweli eti "kula huyoo, kula huyoo"
wasenge wa ivyo nikuwapakaa mafuta tu na kuwa-diddy hakuna kingine .. ivi unatongozaje mke wa mtu kwa makusud kabsa na unakuna jisifia mitandaoni wakufile useme watu hawana huruma *****
 
Back
Top Bottom