Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi tuliodumu kwenye ndoa zaidi ya miongo miwili, lawama wapewe wake za watu na si vijana wanaowadinya. Kama mke wa mtu hajabakwa yaani katongozwa tu au amejitongozesha(kajilengesha mwenyewe) au yeye ndiyo amemtongoza kijana bachelor akatoka akaenda chimbo mwenyewe na kumvulia kijana(probably ni kijana wa hovyohovyo tu mtaani kwao ambaye ni jobless kula kulala au ana kibarua flani cha hovyohovyo) na kumkatikia kwa bashasha labda mpaka kumpa asivyompa mumewe inawezekana pia baada ya tendo akamuachia na pesa za kujikimu(za asante kwa shughuli aliyomfanyia) then lawama uache kumpa mkeo ukampe kijana ambaye ni free bird. Kama mkeo ni loose utawakabili vijana wangapi ukizingatia hauna mamlaka juu yao wakati the easiest way that's within your control ni kuhakikisha mkeo haigawi zana 'yenu' mtaani kama peremende. Mkeo akijiheshimu na kuthamini heshima 'yenu' kwa kutoigawa kibwegebwege hautawalaumu vijana ambao kila kilicho loose mbele yao wanakipelekea moto. Mkeo atakuwa salama na wataliwa wake wa wengine wewe ukiona kama ni movie kwenye screen yako."Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu."
Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu?
Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.
Ni uchungu ambao hauwezi kuu ona katika nyuso yake ila ni uchungu ambao hata ukimwimbia milioni 10 atakupa nafasi ya kumrudishia taratibu ila ukimla mke wake nae anakufanya mke wake au kukutupa ruvu.
Vijana wamekuwa wadhaifu sana, mtu kabisa anashare chats za kutongozana na mke wa mtu na watu wanamsifia kweli eti "kula huyoo, kula huyoo"
Ukitaka kujua hiki kizazi ni cha ajabu,yote hayo uliyoandika ila mtu atakachoona ni kuwa usijisifie wala ku share chats za kumtongoza mke wa mtu sio usimtongoze mke wa mtu😄😄😄"Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu."
Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu?
Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.
Ni uchungu ambao hauwezi kuu ona katika nyuso yake ila ni uchungu ambao hata ukimwimbia milioni 10 atakupa nafasi ya kumrudishia taratibu ila ukimla mke wake nae anakufanya mke wake au kukutupa ruvu.
Vijana wamekuwa wadhaifu sana, mtu kabisa anashare chats za kutongozana na mke wa mtu na watu wanamsifia kweli eti "kula huyoo, kula huyoo"
Na utulie kweliTatizo moyoView attachment 3260802
UKWELI ULIO WAZI NA MCHUNGU KUPOKELEWA NA BINADAMU WA SASA.Kwa sisi tuliodumu kwenye ndoa zaidi ya miongo miwili, lawama wapewe wake za watu na si vijana wanaowadinya. Kama mke wa mtu hajabakwa yaani katongozwa tu au amejitongozesha(kajilengesha mwenyewe) au yeye ndiyo amemtongoza kijana bachelor akatoka akaenda chimbo mwenyewe na kumvulia kijana(probably ni kijana wa hovyohovyo tu mtaani kwao ambaye ni jobless kula kulala au ana kibarua flani cha hovyohovyo) na kumkatikia kwa bashasha labda mpaka kumpa asivyompa mumewe inawezekana pia baada ya tendo akamuachia na pesa za kujikimu(za asante kwa shughuli aliyomfanyia) then lawama uache kumpa mkeo ukampe kijana ambaye ni free bird. Kama mkeo ni loose utawakabili vijana wangapi ukizingatia hauna mamlaka juu yao wakati the easiest way that's within your control ni kuhakikisha mkeo haigawi zana 'yenu' mtaani kama peremende. Mkeo akijiheshimu na kuthamini heshima 'yenu' kwa kutoigawa kibwegebwege hautawalaumu vijana ambao kila kilicho loose mbele yao wanakipelekea moto. Mkeo atakuwa salama na wataliwa wake wa wengine wewe ukiona kama ni movie kwenye screen yako.
Chanzo cha vijana kula wake za watu ni wanawake wenyewe labda kama amebakwa(ukitoa ya kubakwa ndani ya ghetto alikojipeleka mwenyewe). Wanawake waheshimu ndoa zao.
Acha waendeleee kudanganyana ila Kuna mafuta ya upako wa bwanaa"Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu."
Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu?
Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.
Ni uchungu ambao hauwezi kuu ona katika nyuso yake ila ni uchungu ambao hata ukimwimbia milioni 10 atakupa nafasi ya kumrudishia taratibu ila ukimla mke wake nae anakufanya mke wake au kukutupa ruvu.
Vijana wamekuwa wadhaifu sana, mtu kabisa anashare chats za kutongozana na mke wa mtu na watu wanamsifia kweli eti "kula huyoo, kula huyoo"
Kumbe mpaka yuda nae yupoHichi kizazi mnakionea bure.
Haya mambo yamekuwepo zama na zama.
Reubeni alitembea na hawara wa baba yake. Imeandikwa kwenye biblia (mwanzo 35:22)
Yuda alimshenyenta Tamari, mkamwanawake akamtia mimba.... Mambo mengi yamesimuliwa kwenye biblia ambayo yanafanyika leo inaonekana ni kizazi kisichojielewa. Kumbe tunapita mulemule.
Nimetumia biblia kama mfano tu, Ili kuonesha hichi kizazi kinabebeshwa zigo la miba ila kila kinachofanyika kipo kwenye DNA zetu.
Tofauti ya sisi na wao ni kwamba sisi tuna social media.
AmepoteaHivi Yule Jamaaa Yupo Wapi saivi? alikua Anacoment "Kazi Kweli Kweli " Zingatia Neno Kazi Kweli Kweli
Huyo mbibi ana tako kubwa!!Mi nadate na mubib ya watu ila siwez jisifia ni uzembe wao binafsi
La kwendaa nikilipaka wese nafaud sanaHuyo mbibi ana tako kubwa!!