Miaka ya kusheherekea ni 5 anapokuwa mtoto,halafu 10,20,30 na 40 sheherekea ili kumshukuru Mungu,sheria ya birthday ni lzm kuwepo keki,kama hakuna keki usifanye sherehe,ila hayo mambo ya kumwagiana maji mmeyatoa wapi? Mi nimeshiriki sherehe nyingi sana nchi za watu lkn sijaona watu wakimwagiana maji
Nalog off