Ni aibu sana kwa mwanaume 27+ kusherekea kwa vitendo siku yako yakuzaliwa

Ni aibu sana kwa mwanaume 27+ kusherekea kwa vitendo siku yako yakuzaliwa

Asante mamiii,

Vipi tushainasa saini ya ali mayai?? Kwasababu ndio tunaowasajili siku hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Karibu.

Hahahaaaa. Nimecheka kwa sauti. Nimeamua kufunga macho na kuziba msikio nisifuatilie kinachoendelea sababu naona mauza uza tu mpaka msimu ukianza.
 
Yani unakuta limwanaume linanunua keki kabisa, linanunua vikofia vile vya watoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti maandalizi ya birthday yake, wanaume wameisha tanzania.
Kusheherekea ni utoto sana ile unakaa sehemu na marafiki zako,mpenzi wako mnakunywa na kula kimya kimya sio lazima uimbiwe happy bday kama mtoto wa chekechea ni aibu sana kwa wanaume wa tanzania, na haka katabia kakumwagiana maji ndio upuuzi wa hali ya juu, baba jitu zima na mdambi wake tai kubwa unakuta linakimbizana na ndoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii aibu sijui hata tuifiche wap.

Niwatakie siku njema ya kuzaliwa

Mshana Jr

hazard cfc
Mwanamke una nongwa weye. Huna jema?Kijijini kwetu tunaita nongwa ndodi!
 
Wanaiga wazungu,mi saiv nna 20+ lakin sikuwah na sitakuja kufanya shereh ya hbd yangu, ni matumizi mabaya ya fedha. Umri wako wa kuishi unaisha we unafurahia!!! Au unadhani ni ujanja wako kuifikia hyo siku ya hbd yako?
 
Back
Top Bottom