Ni aibu sana serikali kushidwa kusafisha maji!

Ni aibu sana serikali kushidwa kusafisha maji!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Yaani inasikitusha mpaka leo hatuwezi kupata maji safi na salama. Lakini serikali kila siku kujigamba!. Leo maji ya bomba ni kama tope!
 
Yaani inasikitusha mpaka leo hatuwezi kupata maji safi na salama. Lakini serikali kila siku kujigamba!
Nilikuwa naangalia kituo kimoja chakusafisha maji miswungwi ni hatari sana maji yanachkuliwa pembezoni mwa ziwa ambamo Kuna uchafu ,mbolea kutoka ktk mashamba n.k Bado tunatumia njia za zamani sana kwenye hili
 
Maji mabovu yameharibu sana meno ya watu wa Arusha na kuwapa meno ya dhahabu
 
wewe ndo unawakumbusha mdaa huu kama kuna kusafisha maji wao wanajua kusambaza tu na maji yanatoka na rangi tena ya udongo na wakati maji ni colourless
 
Wanachojua ni Kununua Magari ya anasa na Kupiga 10% kwenye huduma za jamii tuko nyuma miaka 100
 
wewe ndo unawakumbusha mdaa huu kama kuna kusafisha maji wao wanajua kusambaza tu na maji yanatoka na rangi tena ya udongo na wakati maji ni colourless
Naenda huko moro ,mbeya maji yanatoka ya kijani
 
Back
Top Bottom