Ni aina ipi ya sub woofer ni nzuri?

Ni aina ipi ya sub woofer ni nzuri?

Mudugu

Senior Member
Joined
Mar 17, 2018
Posts
141
Reaction score
135
Kuna subwoofer nyingi zime zagaa sasa nashindwa ni ipi ninunue maana sija wahi tumia sijajua ipi ni nzuri maana nisije nikanunua leo kesho imekufa
Naomba mnisaidie mnao fahamu kuhusu hivi vitu
Bajeti yangu 150,000 au 180,000
Msaada wenu nauhitaji
Asanteni sana
 
SUBWOOFER ni kwa low budget!
Choice nzuri na Brand ya kuaminika ni Sea Piano, toleo nililonalo ni ile kubwa ya 150k nilinunuaga 2014 mpaka muda huu napiga ngoma geto hapa na inakita balaa haijawahi sumbua linachoka kasha tu ila mziki uko makini!

HOME THEATRE KWA BUDGET NZURI
Living Room kuna home theatre ya SONY DAV-DZ650 nayo ikiwakaga ni kesi tu kwa majirani, ila bei yake imependeza kama una walau 700k pasuka uchukue ni watts1000! Au yenye spika ndogo ile 580,000!
 
SUBWOOFER ni kwa low budget!
Choice nzuri na Brand ya kuaminika ni Sea Piano, toleo nililonalo ni ile kubwa ya 150k nilinunuaga 2014 mpaka muda huu napiga ngoma hapa na inakita balaa haijawahi sumbua linachoka kasha tu ila mziki uko makini!

HOME THEATRE KWA BUDGET NZURI
Living Room kuna home theatre ya SONY DAV-DZ650 nayo ikiwakaga ni kesi tu kwa majirani, ila bei yake imependeza kama una walau 700k pasuka uchukue ni watts1000! Au yenye spika ndogo ile 580,000!
Nashukuru mkuu
 
SUBWOOFER ni kwa low budget!
Choice nzuri na Brand ya kuaminika ni Sea Piano, toleo nililonalo ni ile kubwa ya 150k nilinunuaga 2014 mpaka muda huu napiga ngoma geto hapa na inakita balaa haijawahi sumbua linachoka kasha tu ila mziki uko makini!

HOME THEATRE KWA BUDGET NZURI
Living Room kuna home theatre ya SONY DAV-DZ650 nayo ikiwakaga ni kesi tu kwa majirani, ila bei yake imependeza kama una walau 700k pasuka uchukue ni watts1000! Au yenye spika ndogo ile 580,000!
Umeuaa mkuuu
 
SUBWOOFER ni kwa low budget!
Choice nzuri na Brand ya kuaminika ni Sea Piano, toleo nililonalo ni ile kubwa ya 150k nilinunuaga 2014 mpaka muda huu napiga ngoma geto hapa na inakita balaa haijawahi sumbua linachoka kasha tu ila mziki uko makini!

HOME THEATRE KWA BUDGET NZURI
Living Room kuna home theatre ya SONY DAV-DZ650 nayo ikiwakaga ni kesi tu kwa majirani, ila bei yake imependeza kama una walau 700k pasuka uchukue ni watts1000! Au yenye spika ndogo ile 580,000!

Hivi mkuu una idea yoyote kuhusu hili,kuna madai kwamba home theatre ni special kwa kuangalizia movies huku muziki Hi-Fi ndo iko recommended,kwamba mziki ukiupiga kwenye home theatre kuna vionjo utakuwa huvipati same ukiangalia movie kwa Hi-Fi vinakosekana vitu...

Hapa una maoni gani mzee!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hivi mkuu una idea yoyote kuhusu hili,kuna madai kwamba home theatre ni special kwa kuangalizia movies huku muziki Hi-Fi ndo iko recommended,kwamba mziki ukiupiga kwenye home theatre kuna vionjo utakuwa huvipati same ukiangalia movie kwa Hi-Fi vinakosekana vitu...

Hapa una maoni gani mzee!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Yeah hakika kabisa, Hi-Fi system zinacheza channel mbili tu ama 2.1 ama stereo channels. Left and Right (mids & highs) pamoja Bass(Lows) ambazo ni mahususi kwa audio contents kama muziki! Home theatre zinacheza kuanzia channel 5.1 hali kadhalika 7.2 ama 9.2

Kuhusu muziki kuupigia kwenye hometheatre quality ya muziki ama vionjo utavipata vizuri tu given kwamba hometheatre husika imekuwa optimized kutenganisha channels kulingana na mahitaji yako, maana hometheatre ina combination ya channels zote, Front, Center, Rear bila kusahau bass ama low frequency channel.

Za Front ndio za Stereo ama Music pia kuna hio Center kwa ajili ya dialogues na za Rear kwa ajili ya movie effects kama bomu, radi, upepo kulingana na scenes huitwa sorround soeakers. Bass inatoa sauti ambazo ziko chini sana ya upeo wa mwanadamu kuzitambua hivyo inasikika kama ngurumo tu.

Hivyo kwa kuhitimisha ukiangalia movie kwenye Hi-Fi system hutapata manjonjo yote kama endapo ungeangalizia movie hio katika hometheatre. Sababu ni kwamba channel zitakuwa overlapped maana vyote vitalazimishwa kusikika kwenye stereo channels (Front Left & Front Right) which is less fun!

Ila kinyume chake kusikiliza nyimbo kwenye Home Theatre unaweza pata manjonjo kama ilivyokusudiwa kwa sababu vionjo vya muziki vinaandaliwa kusikika katika Stereo Channels na bass. Cha kufanya set hometheatre yako kwenye stereo sound mode itapiga speaker mbili tu kama Hi-Fi System.

Drawback ni kwamba hometheatre inaweza isiwe very loud kama Hi-Fi system.

NB: Channel ninamaanisha speakers!
 
Hivi mkuu una idea yoyote kuhusu hili,kuna madai kwamba home theatre ni special kwa kuangalizia movies huku muziki Hi-Fi ndo iko recommended,kwamba mziki ukiupiga kwenye home theatre kuna vionjo utakuwa huvipati same ukiangalia movie kwa Hi-Fi vinakosekana vitu...

Hapa una maoni gani mzee!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
kwa maoni yangu hizo ni mbwembwe tu. HiFi ni kipimo cha ubora wa spika na spika zake ni ghali sana. hizi zipo kwenye brand za gharama kama Bose na klipsch . unaweza pata hometheatre yenye spika hifi.
 
Yeah hakika kabisa, Hi-Fi system zinacheza channel mbili tu ama 2.1 ama stereo channels. Left and Right (mids & highs) pamoja Bass(Lows) ambazo ni mahususi kwa audio contents kama muziki! Home theatre zinacheza kuanzia channel 5.1 hali kadhalika 7.2 ama 9.2

Kuhusu muziki kuupigia kwenye hometheatre quality ya muziki ama vionjo utavipata vizuri tu given kwamba hometheatre husika imekuwa optimized kutenganisha channels kulingana na mahitaji yako, maana hometheatre ina combination ya channels zote, Front, Center, Rear bila kusahau bass ama low frequency channel.

Za Front ndio za Stereo ama Music pia kuna hio Center kwa ajili ya dialogues na za Rear kwa ajili ya movie effects kama bomu, radi, upepo kulingana na scenes huitwa sorround soeakers. Bass inatoa sauti ambazo ziko chini sana ya upeo wa mwanadamu kuzitambua hivyo inasikika kama ngurumo tu.

Hivyo kwa kuhitimisha ukiangalia movie kwenye Hi-Fi system hutapata manjonjo yote kama endapo ungeangalizia movie hio katika hometheatre. Sababu ni kwamba channel zitakuwa overlapped maana vyote vitalazimishwa kusikika kwenye stereo channels (Front Left & Front Right) which is less fun!

Ila kinyume chake kusikiliza nyimbo kwenye Home Theatre unaweza pata manjonjo kama ilivyokusudiwa kwa sababu vionjo vya muziki vinaandaliwa kusikika katika Stereo Channels na bass. Cha kufanya set hometheatre yako kwenye stereo sound mode itapiga speaker mbili tu kama Hi-Fi System.

Drawback ni kwamba hometheatre inaweza isiwe very loud kama Hi-Fi system.

NB: Channel ninamaanisha speakers!



kwa maoni yangu hizo ni mbwembwe tu. HiFi ni kipimo cha ubora wa spika na spika zake ni ghali sana. hizi zipo kwenye brand za gharama kama Bose na klipsch . unaweza pata hometheatre yenye spika hifi.

Kwa hiyo wakuu hapa tunaweza tukahitimisha kwa kusema kwamba Home Theatre inaweza kuwa the best siyo?

Nataka ninunue moja wapo wa hivi vitu ila mtaani kelele nyingi sana kila mtu anajikuta mtaalam huyu ananiambia hivi huyu ananiambia vile alimradi sijui nishike la nani niache la nani ila napendezewa sana na home theatre.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kwa hiyo wakuu hapa tunaweza tukahitimisha kwa kusema kwamba Home Theatre inaweza kuwa the best siyo?

Nataka ninunue moja wapo wa hivi vitu ila mtaani kelele nyingi sana kila mtu anajikuta mtaalam huyu ananiambia hivi huyu ananiambia vile alimradi sijui nishike la nani niache la nani ila napendezewa sana na home theatre.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Usiskize maneno ya kishabiki! Hometheatre ni zaidi ya Hi-Fi kwa ufanisi. Nakurahisishia Chaguo.

Kama unapenda zaidi mziki ama matumizi yako yatakuwa ya mziki hasa loud music ambao ukifungulia sauti ya juu kabisa mziki utasikika mtaa mzima basi Hi-Fi system is the way to go ila kwa movies itakuwa haina ufanisi kama hometheatre. Inshort kama wewe ni music fanatic tu nunua Hi-Fi system.

Ila kama matumizi yako yatakuwa combined nunua hometheatre system yenye nguvu atleast 1000watts i recommend "Sony" ama "Panasonic" itakuwa loud enough. You will get the best of whole worlds ikiwa ni muziki mzuri na movies za kusisimua.
 
Mkuu kama kitu hujui ni busara kukaa kimya, hii kitu gani umeongea hapa? 😂😂😂😂
kwa maoni yangu hizo ni mbwembwe tu. HiFi ni kipimo cha ubora wa spika na spika zake ni ghali sana. hizi zipo kwenye brand za gharama kama Bose na klipsch . unaweza pata hometheatre yenye spika hifi.
 
Mkuu kama kitu hujui ni busara kukaa kimya, hii kitu gani umeongea hapa? 😂😂😂😂
Nimejibu kwa uelewa wangu mkuu. kwamba hifi si aina ya audio system kama ilivyo home theatre ni kipimo cha ubora wa sauti. hata home theatre zinaweza toa hifi sound.
 
Brother mim ni fundi wa haya masabufa
kifupi nafaham a~z ya hizi mambo
kwanza fahamu kuwa seapiano au aborda sio kiwanda cha kutengeneza sabufa ila ni suply tu wa masabufa yani anachukua toka shanghai china na india huko
alafu wanazipa stika ndo wewe unaona hiyo sea piano au aborda


kitu muhimu kufata brother kuna seapiano furani adimu kwa sasa ila ziko poa SANA yani nasemea kwenye hardware zake yani circuit yake
kuna sabufa hasa zakisasa yani hardware yake circuit yake ipo kama ya simu hivi
hyo redio usijaribu kununua sababu ikiharibika hazitengnezeki
jinsi yakuijua ukifika dukani igeuze nyuma huku ...ukikuta ina kiplastiki furani cha pembe nne hivi p ambapo hapo kwenye kiplastiki pana pini za kutolea twita na aux pembeni kuna nati iyo usinunue
ila ukikuta nati zipo pembeni kabsa hyo waweza nunua
ukiweza ni pm nkpgie nkupe maelekezo vema


Voxser empire
 
Back
Top Bottom