Ni aina ipi ya sub woofer ni nzuri?

Ni aina ipi ya sub woofer ni nzuri?

Brother mim ni fundi wa haya masabufa
kifupi nafaham a~z ya hizi mambo
kwanza fahamu kuwa seapiano au aborda sio kiwanda cha kutengeneza sabufa ila ni suply tu wa masabufa yani anachukua toka shanghai china na india huko
alafu wanazipa stika ndo wewe unaona hiyo sea piano au aborda


kitu muhimu kufata brother kuna seapiano furani adimu kwa sasa ila ziko poa SANA yani nasemea kwenye hardware zake yani circuit yake
kuna sabufa hasa zakisasa yani hardware yake circuit yake ipo kama ya simu hivi
hyo redio usijaribu kununua sababu ikiharibika hazitengnezeki
jinsi yakuijua ukifika dukani igeuze nyuma huku ...ukikuta ina kiplastiki furani cha pembe nne hivi p ambapo hapo kwenye kiplastiki pana pini za kutolea twita na aux pembeni kuna nati iyo usinunue
ila ukikuta nati zipo pembeni kabsa hyo waweza nunua
ukiweza ni pm nkpgie nkupe maelekezo vema


Voxser empire
Napenda unifundishe mkuu jinsi ya kuunda amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2030 nisaidie mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SUBWOOFER ni kwa low budget!
Choice nzuri na Brand ya kuaminika ni Sea Piano, toleo nililonalo ni ile kubwa ya 150k nilinunuaga 2014 mpaka muda huu napiga ngoma geto hapa na inakita balaa haijawahi sumbua linachoka kasha tu ila mziki uko makini!

HOME THEATRE KWA BUDGET NZURI
Living Room kuna home theatre ya SONY DAV-DZ650 nayo ikiwakaga ni kesi tu kwa majirani, ila bei yake imependeza kama una walau 700k pasuka uchukue ni watts1000! Au yenye spika ndogo ile 580,000!
Chief hivi sea piano sp_1002 inaweza ikawa na Watts ngapi?
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
tapatalk_1573466973904.jpeg
 
subwoofer langu seapiano ni HI-FI maana yake ni high fidelity sijui nyinyi mnaongea nini? high fidelity ni uwezo wa speaker kureproduce sauti katika ubora wa hali ya juu , me subwoofer langu linaipita hata subwoofer zingine za sony za bei kubwa sana , nafahamu technology kama dobly atmos au dts ambazo hutumika katika 3D sound , lakini technology hii bongo bado sana labda mpaka upate content zinazoweza kutumia hiyo technology na mara nyingi technology hizo zinapatikana kwenye movies tena sio movie za kawaida ni zile za kununua ambazo unakuta zimeandikwa 3D sound supported au dobly atmos lakini hakuna tofauti yoyote na subwoofer yenye HI-Fi kama utakuwa unapiga nyimbo za kina daimond na dogo aslay labda upate nyimbo za kwenye album ambazo zimetengenezwa special kwa technology hiyo na mziki wako uwe una support.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss ni sea piano aina gani?
 
Brother mim ni fundi wa haya masabufa
kifupi nafaham a~z ya hizi mambo
kwanza fahamu kuwa seapiano au aborda sio kiwanda cha kutengeneza sabufa ila ni suply tu wa masabufa yani anachukua toka shanghai china na india huko
alafu wanazipa stika ndo wewe unaona hiyo sea piano au aborda


kitu muhimu kufata brother kuna seapiano furani adimu kwa sasa ila ziko poa SANA yani nasemea kwenye hardware zake yani circuit yake
kuna sabufa hasa zakisasa yani hardware yake circuit yake ipo kama ya simu hivi
hyo redio usijaribu kununua sababu ikiharibika hazitengnezeki
jinsi yakuijua ukifika dukani igeuze nyuma huku ...ukikuta ina kiplastiki furani cha pembe nne hivi p ambapo hapo kwenye kiplastiki pana pini za kutolea twita na aux pembeni kuna nati iyo usinunue
ila ukikuta nati zipo pembeni kabsa hyo waweza nunua
ukiweza ni pm nkpgie nkupe maelekezo vema


Voxser empire
Mkuu elezea vizuri hapo au kama una picha zanazoonesha hizo tofauti ebu zitupie maana huku mtaani tunakamatwa sana
 
Brother mim ni fundi wa haya masabufa
kifupi nafaham a~z ya hizi mambo
kwanza fahamu kuwa seapiano au aborda sio kiwanda cha kutengeneza sabufa ila ni suply tu wa masabufa yani anachukua toka shanghai china na india huko
alafu wanazipa stika ndo wewe unaona hiyo sea piano au aborda


kitu muhimu kufata brother kuna seapiano furani adimu kwa sasa ila ziko poa SANA yani nasemea kwenye hardware zake yani circuit yake
kuna sabufa hasa zakisasa yani hardware yake circuit yake ipo kama ya simu hivi
hyo redio usijaribu kununua sababu ikiharibika hazitengnezeki
jinsi yakuijua ukifika dukani igeuze nyuma huku ...ukikuta ina kiplastiki furani cha pembe nne hivi p ambapo hapo kwenye kiplastiki pana pini za kutolea twita na aux pembeni kuna nati iyo usinunue
ila ukikuta nati zipo pembeni kabsa hyo waweza nunua
ukiweza ni pm nkpgie nkupe maelekezo vema


Voxser empire
CHECK INBOX MKUU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah hakika kabisa, Hi-Fi system zinacheza channel mbili tu ama 2.1 ama stereo channels. Left and Right (mids & highs) pamoja Bass(Lows) ambazo ni mahususi kwa audio contents kama muziki! Home theatre zinacheza kuanzia channel 5.1 hali kadhalika 7.2 ama 9.2

Kuhusu muziki kuupigia kwenye hometheatre quality ya muziki ama vionjo utavipata vizuri tu given kwamba hometheatre husika imekuwa optimized kutenganisha channels kulingana na mahitaji yako, maana hometheatre ina combination ya channels zote, Front, Center, Rear bila kusahau bass ama low frequency channel.

Za Front ndio za Stereo ama Music pia kuna hio Center kwa ajili ya dialogues na za Rear kwa ajili ya movie effects kama bomu, radi, upepo kulingana na scenes huitwa sorround soeakers. Bass inatoa sauti ambazo ziko chini sana ya upeo wa mwanadamu kuzitambua hivyo inasikika kama ngurumo tu.

Hivyo kwa kuhitimisha ukiangalia movie kwenye Hi-Fi system hutapata manjonjo yote kama endapo ungeangalizia movie hio katika hometheatre. Sababu ni kwamba channel zitakuwa overlapped maana vyote vitalazimishwa kusikika kwenye stereo channels (Front Left & Front Right) which is less fun!

Ila kinyume chake kusikiliza nyimbo kwenye Home Theatre unaweza pata manjonjo kama ilivyokusudiwa kwa sababu vionjo vya muziki vinaandaliwa kusikika katika Stereo Channels na bass. Cha kufanya set hometheatre yako kwenye stereo sound mode itapiga speaker mbili tu kama Hi-Fi System.

Drawback ni kwamba hometheatre inaweza isiwe very loud kama Hi-Fi system.

NB: Channel ninamaanisha speakers!
Nimekuvulia kofia asee.
 
Back
Top Bottom