zakayoyoung
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 140
- 38
Napenda unifundishe mkuu jinsi ya kuunda amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2030 nisaidie mkuuBrother mim ni fundi wa haya masabufa
kifupi nafaham a~z ya hizi mambo
kwanza fahamu kuwa seapiano au aborda sio kiwanda cha kutengeneza sabufa ila ni suply tu wa masabufa yani anachukua toka shanghai china na india huko
alafu wanazipa stika ndo wewe unaona hiyo sea piano au aborda
kitu muhimu kufata brother kuna seapiano furani adimu kwa sasa ila ziko poa SANA yani nasemea kwenye hardware zake yani circuit yake
kuna sabufa hasa zakisasa yani hardware yake circuit yake ipo kama ya simu hivi
hyo redio usijaribu kununua sababu ikiharibika hazitengnezeki
jinsi yakuijua ukifika dukani igeuze nyuma huku ...ukikuta ina kiplastiki furani cha pembe nne hivi p ambapo hapo kwenye kiplastiki pana pini za kutolea twita na aux pembeni kuna nati iyo usinunue
ila ukikuta nati zipo pembeni kabsa hyo waweza nunua
ukiweza ni pm nkpgie nkupe maelekezo vema
Voxser empire
Sent using Jamii Forums mobile app