Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wa seapiano tunakoment wapi, hiinaona kama ni kenya,sidhani bongo kama kuna wakufanya hv haya mamboHii kitu Unaweza kupewa notice na wenye nyumba View attachment 2523149
all the way from KenyaHii kitu Unaweza kupewa notice na wenye nyumba View attachment 2523149
hivi unajua subwoofer ni low for low frequency yani bass. so subwoofer inatakiwa iendane na speaker nyingine steriosubwoofer langu seapiano ni HI-FI maana yake ni high fidelity sijui nyinyi mnaongea nini? high fidelity ni uwezo wa speaker kureproduce sauti katika ubora wa hali ya juu , me subwoofer langu linaipita hata subwoofer zingine za sony za bei kubwa sana , nafahamu technology kama dobly atmos au dts ambazo hutumika katika 3D sound , lakini technology hii bongo bado sana labda mpaka upate content zinazoweza kutumia hiyo technology na mara nyingi technology hizo zinapatikana kwenye movies tena sio movie za kawaida ni zile za kununua ambazo unakuta zimeandikwa 3D sound supported au dobly atmos lakini hakuna tofauti yoyote na subwoofer yenye HI-Fi kama utakuwa unapiga nyimbo za kina daimond na dogo aslay labda upate nyimbo za kwenye album ambazo zimetengenezwa special kwa technology hiyo na mziki wako uwe una support.
Sent using Jamii Forums mobile app
nenda youtube utaona kila ufundiNapenda unifundishe mkuu jinsi ya kuunda amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2030 nisaidie mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
mpaka leo watu mnaishi nyumba ina panya kweliView attachment 1951250
Sp-1002 ndio model yake
2.1 channel
Hi itakua jibu lako
Mashine ina 2ohms bass speaker
Hi ni full digital
Ina LINE IN
BLUETOOTH
MP3 PLAYER
FM RADIO
EQULIZER
Ili idumu muda mrefu fanya yafuatayo
1 usichajie simu sehemu ya frash
2 usiruhusu mende kuingia ndani
3 panya wasiingie ndani hua wanakula speaker
4 usipige muda mrefu ikiwa sauti mwisho
(Yaan masaa6,7) mala kwa mala
Usiongeze speaker zingine zaidi ya zile ilizokuja nazo
Faida yake n kua full digital operations
Pia ina muonekano bomba wakupendeza
Musiywake n kubwa mzito wa radha
Ikiharibika huitaji kutengeneza kitu[emoji23]
Ndani ina ramani mbili tu
1transfoma
2 amplifier
Ambazo ikiungua tansfoma utanunua utapachika tu
Sawa na amp pia unanunua unapachika tu kama kawaida
Why not bossmpaka leo watu mnaishi nyumba ina panya kweli
mifugo hiyo ipigwe vitaWhy not boss
Mkuu ni dawa gani hiyo unaweza nyunyizia kuzuia mende? Kwenye sea piano SP1002Why not boss
Siikumbuk kwa jinaMkuu ni dawa gani hiyo unaweza nyunyizia kuzuia mende? Kwenye sea piano SP1002