Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kazana jitahidi nawe ufanye hivyo.wao ndo wataanza namimi then ntafwatia
😂 unachokitafuta utakipata kenge wewe
Asante kunishauri,,harusi kubwa oyeeeeSawa kazana jitahidi nawe ufanye hivyo.
umesahau kuweka ya mikopoAsante kunishauri,,harusi kubwa oyeeee
😂 unachokitafuta utakipata kenge wewe
Wewe mirembe utaingia ni suala la muda.
Mmh wanaweza kushikanaHiyo ndoa haitoboi
Mleta Mada kajifunze kikoba na ya Mzunguko sijui Jina kamili zinaendaje
Sio kila kitu ni kikobaaaa
Ngumu sana .......kama hawana biashara za maana ngumu hao wote akili yao ni moja kwa akili ya kawaida tu ni ngumu kuchukua mkopo wa riba kwa ajiri ya ndoa kwani hakuna ulazima ndoa hata laki5 mnafunga vizuri na watu wanakula wanashiba kwa uchache wao.Kwa kifupi wamefanya hayo kwa mashindano kwamba yetu itakuwa zaidi ya akina dev ya kwetu itakuwa kubwa na nzuri sana bila kuangalia kipato chenuMmh wanaweza kushikana
Aibu ni kawatoa mtandaoni
Sasa na wao labda watawapiga kwa sheria kama haipo walipojaza fomu kwa T&Cs
Hata bank nitakopa,dhamana nyumba ya wazeeumesahau kuweka ya mikopo